Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Heee. Humu sijui kama utapata mume bora. Mitandaoni siyo mahala pakupata mume ILa kila la kheri
Usimkatishe tamaa, wapo wengi waliofanikiwa kupitia mtandaoni, tena baadhi tunaowafahamu. Nimependa alivyojieleza, hakika anaweza kuwa mwanamke anayefaa. Hata hawa waliokwisha olewa wengi waliunganishwa na 'social networks' kama sherehe, kwenye ibada vyama, kazini na siku hizi fb, instagram, JF, na nyingi nyinginezo. Kila la kheri.
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Nichek 0765147920,0715603068
 
Mm mwenyewe ni kijana wa miaka 29. Diploma holder ktk midwifery aspects. Ninatamani kuwa na binti ila naishiwa nguvu bcoz wengi hawapendi kuambiwa ukweli bali hupenda uongo. Mm c mvuta sigara, bangi wala pombe plus any restricted drugs since I was born. Upo tayar kuishi ktk ukweli
 
Mm mwenyewe ni kijana wa miaka 29. Diploma holder ktk midwifery aspects. Ninatamani kuwa na binti ila naishiwa nguvu bcoz wengi hawapendi kuambiwa ukweli bali hupenda uongo. Mm c mvuta sigara, bangi wala pombe plus any restricted drugs since I was born. Upo tayar kuishi ktk ukweli
Mwenye bandiko hajaongelea kuhusu suala la ukweli. Wewe angalia kama huna vigezo alivyoviweka utulie tu
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Ukipata uniambie..namimi natafuta
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Kila la kheri
 
Nakidhi vgezo vyako... Kama utaruhusu nije PM Nitashukuru..
 
Back
Top Bottom