Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mie zote ninazo, Tatizo ni hapo kwenye POMBE,..

Kila la kheri Mungu akujalie umpate asiyetumia Pombe..

Ingawaje ninaamini ukikuta mwanaume hanywi Pombe ujue hana akili..

Nimeoa.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Daah.kwahyo mi sina akili sio?
 
Khaaa kuanzia miaka 29 kwa hiyo mim mwenye chini y hiyo veepee veepe
 
Mie zote ninazo, Tatizo ni hapo kwenye POMBE,..

Kila la kheri Mungu akujalie umpate asiyetumia Pombe..

Ingawaje ninaamini ukikuta mwanaume hanywi Pombe ujue hana akili..

Nimeoa.[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mpk hapo ni wazi pombe zimeshakuathiri,pole
 
Nasubiria vigezo vipungue ukishafikisha 28-------- unishtue maana me na pombe dam dam
 
Jamani na mimi mwenye 40 na sijui hata papuchi inafananaje naomba nifikirie pia!
 
Jitahidi kufunga na kusali. Weka nia ya misa kanisani
 
Duh,hapo chacha sifa zote ninazo,Ila hujasema mime mwenye watoto?
 
Jamani Wakristo kwani kuna mini kila siku kutafuta waume mitandaoni? Silimu uende huko pangani labda first lady wa pangani atakuonea huruma akupe nafasi kwa Mme wake.
 
Heee. Humu sijui kama utapata mume bora. Mitandaoni siyo mahala pakupata mume ILa kila la kheri
Si kweli mkuu!!mimi nina ushahidi kwa rafiki yangu alianza urafiki na mke wake mwaka 2011 fb.mwaka jana 2017 akaamua kufunga ndoa baada ya kuridhika nae.
 
Wafanya biashara wote wakubwa kwa wadogo wanakutana kwnye pmbe..

Dili zote mjini zinapangiwa bar..

Story za maisha zinaongelewa bar..

Alafu mwanaume haunywi pombe unajihesabia unapambana maishani..
Mimi dili zote kubwa zinakuja ofisini, kukiwa na issue ya maana tunakodi ukumbi wa mkutano Hotelini, sasa sijui hizo dili zinazopangiwa Bar ni za nini!!!
 
Back
Top Bottom