Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume

Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Njoo pm Niko na nia hasa
 
Niko hapa muzee ya kilimanjaro, sifa zangu 39 year, naonja onja vibia siku moja moja. Navuta sigara ila nilishaweka nadhiri yangu siku nikiowa naacha.0625588153 ikikupendeza nichek. Niko dar mjasiriamali na sijaajiriwa
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
kazana na maombi, wanaume wengi hatuna kipato cha uhakika japo ukimpata hasiyekuwa na kipato mkubalie kwani ajuaye kesho ni MUNGU peke yake
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Ulishapata umtafutaye?
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Pole hapa ni wanaume za watu ukitaka kuhakikisha mpigie usiku na hawapo serious kukuongeza hata uwe mke wapili
 
Ww ulisema humu ni mgeni mara umeshapajua kiasi cha kumwambia mwenzio hawezi kupata mume bora?!

Au ulishajaribu kutafuta ukakosa?

Acha kumkatisha mwenzio tamaa
Ni kweli no wanaume humu humu kuna wachumba tu wawatu wanaume za watu na watu ambao hawaelewi kwanini mnachart au kaja pm kufanya nini [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilipokuwa naambiwa pm ukweli nilikuwa napinga ila kiukweli no man in jamii forum who will settle with you may be à miracle
 
Safi sana, hata wahenga walisema '...mficha uchi hazai...'
Utapata tu. Humu humu...
 
Mimi ni msichana wa kitanzania mwenye miaka 26, najitokeza kwenu kutafuta mwanaume ambae Mungu akipenda awe baba wa watoto. Kiukweli niko very serious nawish nimpate mtu mwenye mapenzi ya dhati na sio masihara.

Sifa zangu
Miaka 26, mfanyabiashara, elimu diploma,

Sifa zake
Dini...mkristo
Miaka...kuanzia miaka 29-35
Kari awe ameajiriwa au awe anajishughulisha na kazi halali inayomuingizia kipato.
Mwenye kujitambua.
Asivute sigara wala sio mtumiaji wa pombe.
Msafi, mtanashati,
Aliye seriously.
Sibagui kabila
Endelea kutafta,ukikosa nikupe mji!
 
Wavurugaji mmezidi sana wakuu,yaani utadhani kuna credit zinatolewa kwa wanacomment utumbo,kwani mtu ukicomment kiungwana unahisi hadhi yako inapungua?Jifunzeni kuwa waungwana ili kudhihirisha mnatoka ktk jamii iliyostaarabika.
 
Ni kweli no wanaume humu humu kuna wachumba tu wawatu wanaume za watu na watu ambao hawaelewi kwanini mnachart au kaja pm kufanya nini [emoji23] [emoji23] [emoji23] nilipokuwa naambiwa pm ukweli nilikuwa napinga ila kiukweli no man in jamii forum who will settle with you may be à miracle
Acha kumpotosha
 
Kweliii watakutumia kukuchezea nawanakuacha ulie[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Pole kama wamekufanya hivyo. Ila wenye nia tupo though hatujapata wa kumpa upendo wa dhati na kumfanya ajisikie ni mwanamke pekee aliebaki ulimwenguni, kwani atapewa mapenzi motomoto mpaka asahau birthday yake.
 
Pole kama wamekufanya hivyo. Ila wenye nia tupo though hatujapata wa kumpa upendo wa dhati na kumfanya ajisikie ni mwanamke pekee aliebaki ulimwenguni, kwani atapewa mapenzi motomoto mpaka asahau birthday yake.
Oh mpe basi ili ajione yupo juu asahau hata leo nilini?
Wapi mbwembwe tu wala hamuonekani mnaishilia humu nyie niwaoga napia hamjiamini wapotezani muda wawadada kama mtu amepata aje atupe mrejesho mwanaume waukweli ni yule unayemuoana kwa macho naunamfeel napia akusikie umsikie yupo sio nyie viatar ya uongo nyie ni waongo wazee so tufanyaje ila sijawahi kuona wazee ni waongo ni nyie wasiku hizi tu ndio mmeingia mjini.hueleweki napia hampo serious mnatusingizia tu ni sisi ni nyie
 
Oh mpe basi ili ajione yupo juu asahau hata leo nilini?
Wapi mbwembwe tu wala hamuonekani mnaishilia humu nyie niwaoga napia hamjiamini wapotezani muda wawadada kama mtu amepata aje atupe mrejesho mwanaume waukweli ni yule unayemuoana kwa macho naunamfeel napia akusikie umsikie yupo sio nyie viatar ya uongo nyie ni waongo wazee so tufanyaje ila sijawahi kuona wazee ni waongo ni nyie wasiku hizi tu ndio mmeingia mjini.hueleweki napia hampo serious mnatusingizia tu ni sisi ni nyie
Njoo nikupende mumy.. Wanaume tunaopenda bado tupo ... Namtukana kimoyomoyo huyo boya aliekufanya uone wanaume wote waongo... Let me love you and you will come back here to give your testimony
 
Wavurugaji mmezidi sana wakuu,yaani utadhani kuna credit zinatolewa kwa wanacomment utumbo,kwani mtu ukicomment kiungwana unahisi hadhi yako inapungua?Jifunzeni kuwa waungwana ili kudhihirisha mnatoka ktk jamii iliyostaarabika.

hahaaaa eti credit inatolewa kwa ku coment utumbo hahaa
 
hahaaaa eti credit inatolewa kwa ku coment utumbo hahaa
Wanazingua sana aisee yaani unakuta wanawanyongonyesha watoto wa watu wanaohangaika kutafuta namna na watu wa kuanzisha nao familia.Shida ni wengi kukariri comments za utumbo wanazoziona humu jukwaani wasijue mahali sahihi pa kuzitumia,hata kwenye masuala ya kistaarabu mtu analeta comment ya kipumbavu sijui wanaona sifa!halafu sie wanaume ndio tunaongoza kwa upumbavu huu.Pongezi kwa baadhi ya member waliostaarabika kiukweli kuna baadhi ya members sijawahi kuona wamecomment upumbavu Mwifwa.
 
Wanazingua sana aisee yaani unakuta wanawanyongonyesha watoto wa watu wanaohangaika kutafuta namna na watu wa kuanzisha nao familia.Shida ni wengi kukariri comments za utumbo wanazoziona humu jukwaani wasijue mahali sahihi pa kuzitumia,hata kwenye masuala ya kistaarabu mtu analeta comment ya kipumbavu sijui wanaona sifa!halafu sie wanaume ndio tunaongoza kwa upumbavu huu.Pongezi kwa baadhi ya member waliostaarabika kiukweli kuna baadhi ya members sijawahi kuona wamecomment upumbavu Mwifwa.

hata mimi mwifa namuonaga bonge la mstaarabu
 
hata mimi mwifa namuonaga bonge la mstaarabu
Yes mkuu ni baadhi tu ya wastaarabu na waungwana waliomo humu wapo wengi tu kwa upande wangu but wengine kichefuchefu sana.

But all in all kubadilika inaanza na mm na ww mi natamani km hz comments za kishenzi kungekuwa na kakirusi kanazitafuna automatically as you post them ingekuwa murua sana.
 
Back
Top Bottom