MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tumia akili badala ya hisia.Mimi binafsi, sitiwi chumvi na mtu katika hili. Ni hisia zangu na naamini napaswa kuheshimiwa pia kama watu wa Zanzinbar wanavyojiita wazanzibari na wapo kwenye huo muungano. Shida yetu ni nini kuitwa Watanganyika?
Jomba hunaga akili kabisa. Kwako wewe matusi ni silaha. Hamia huko Ulaya ukaolewe. Huna adabu kabisa.Kama umezaliwa 1960 na mpaka leo huna akili basi kuna tatizo kubwa sn hata hiyo masters ako ni ya kijinga sn, jiheshimu, Ulaya mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa na akili nzuri, kwetu mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa mjinga sijui kwanini
Unaongeza nini kuitwa jina mfu?Mimi binafsi, sitiwi chumvi na mtu katika hili. Ni hisia zangu na naamini napaswa kuheshimiwa pia kama watu wa Zanzinbar wanavyojiita wazanzibari na wapo kwenye huo muungano. Shida yetu ni nini kuitwa Watanganyika?
Unatamani mambo ya Ulaya?? Nenda ukaliwe makalio maana hayo ndiyo mambo ya UlayaKama umezaliwa 1960 na mpaka leo huna akili basi kuna tatizo kubwa sn hata hiyo masters ako ni ya kijinga sn, jiheshimu, Ulaya mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa na akili nzuri, kwetu mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa mjinga sijui kwanini
Wazanzibar ni wabaguzi sn
Nimezaliwa mwaka 1960 na Muungano umenikuta nina mika 4. Nimesoma kwenye nchi ya Tanzania hadi shahada ya uzamili ndani ya Tanzania.
Leo hii nitakuwa kichaaa kudai Tanganyika. Tanganyika ili cease 1964 na sijawahi kupungukiwa kitu kwa kutokuwapo kwa Tanganyika.
Wengi wa wanaochangia huu mjadala wanafurahishwa na uropokaji wa Lissu tu lakini ukiwauliza Tanganyika itakupa nini ambacho leo huna ndani ya Tanzania wanabaki hawana jibu.
Kwa mfano ardhi huko Tanzania bara tuna 945,000 Square kilometres na mapori kibao. Mtu hajashika hata ekari moja kwenye mapori ya Kisarawe, ila anatamani apate ardhi ZNZ yenye 2,045 Square kilometres,
wamembagua nani mkuuWazanzibar ni wabaguzi sn
kama Zanzibar sio nchi, Tanganyika ni nchi?"Zanzibar sio nchi" alisikika waziri mkuu wa Tanganyika akisema
Sawa dada anguUnatamani mambo ya Ulaya?? Nenda ukaliwe makalio maana hayo ndiyo mambo ya Ulaya
Si wana Rais wao"Zanzibar sio nchi" alisikika waziri mkuu wa Tanganyika akisema
Kaombe hata udiwani kama utapata au kununua ardhiwamembagua nani mkuu
Kaombe hata udiwani kama utapata au kununua ardhi
Kaombe hata udiwani kama utapata
Sasa ardhi yote iliyokuwepo huku bara niende nikanunue ardhi Zanzibar ya nini mkuu.Kaombe hata udiwani kama utapata au kununua ardhi
Kusema umezaliwa 1960, bila shaka ulikuwa unatania.Unatamani mambo ya Ulaya?? Nenda ukaliwe makalio maana hayo ndiyo mambo ya Ulaya
Hivi kuna namna gani kujitenga na hao wazanzibari, wana roho mbaya sana!Hata mimi ni mtanganyika sitaki kuwa ndugu na wazanzibar hata dak 1
Kama nataka kuishi Zanzibar nimepapenda? Kilimajaro ardhi ni ndogo lakini Morogoro ardhi ipo ya kutosha, kwahiyo watu kutoka Morogoro wasinunue ardhi Kilimanjaro ila wachaga wanunue ardhi Morogoro? shame on youSasa ardhi yote iliyokuwepo huku bara niende nikanunue ardhi Zanzibar ya nini mkuu.
yani kwa mfano huku Tanganyika kuwepo na eneo mathalan 1000km square, na kule Zanzibar ni 1 km square, unaacha chako kingi unaenda kumwambia mwenzio aliyenakidogo akupe na kidogo chake ukimiliki.
huo utakuwa ubinafsi ni kuvutia kwako tu.
Tuwatenge warudi kwaoHivi kuna namna gani kujitenga na hao wazanzibari, wana roho mbaya sana!
Huyo chogo ni muongoKusema umezaliwa 1960, bila shaka ulikuwa unatania.