Mimi ni Mtanganyika

Mimi ni Mtanganyika

Kama umezaliwa 1960 na mpaka leo huna akili basi kuna tatizo kubwa sn hata hiyo masters ako ni ya kijinga sn, jiheshimu, Ulaya mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa na akili nzuri, kwetu mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa mjinga sijui kwanini
Jomba hunaga akili kabisa. Kwako wewe matusi ni silaha. Hamia huko Ulaya ukaolewe. Huna adabu kabisa.
 
Mimi binafsi, sitiwi chumvi na mtu katika hili. Ni hisia zangu na naamini napaswa kuheshimiwa pia kama watu wa Zanzinbar wanavyojiita wazanzibari na wapo kwenye huo muungano. Shida yetu ni nini kuitwa Watanganyika?
Unaongeza nini kuitwa jina mfu?
 
Kama umezaliwa 1960 na mpaka leo huna akili basi kuna tatizo kubwa sn hata hiyo masters ako ni ya kijinga sn, jiheshimu, Ulaya mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa na akili nzuri, kwetu mtu anavyozidi kuwa na umri mkubwa ndiyo anazidi kuwa mjinga sijui kwanini
Unatamani mambo ya Ulaya?? Nenda ukaliwe makalio maana hayo ndiyo mambo ya Ulaya
 
Nimezaliwa mwaka 1960 na Muungano umenikuta nina mika 4. Nimesoma kwenye nchi ya Tanzania hadi shahada ya uzamili ndani ya Tanzania.

Leo hii nitakuwa kichaaa kudai Tanganyika. Tanganyika ili cease 1964 na sijawahi kupungukiwa kitu kwa kutokuwapo kwa Tanganyika.

Wengi wa wanaochangia huu mjadala wanafurahishwa na uropokaji wa Lissu tu lakini ukiwauliza Tanganyika itakupa nini ambacho leo huna ndani ya Tanzania wanabaki hawana jibu.

Kwa mfano ardhi huko Tanzania bara tuna 945,000 Square kilometres na mapori kibao. Mtu hajashika hata ekari moja kwenye mapori ya Kisarawe, ila anatamani apate ardhi ZNZ yenye 2,045 Square kilometres,

Wazanzibar ni wabaguzi sn
wamembagua nani mkuu
 
Kaombe hata udiwani kama utapata au kununua ardhi

Kaombe hata udiwani kama utapata

Kaombe hata udiwani kama utapata au kununua ardhi
Sasa ardhi yote iliyokuwepo huku bara niende nikanunue ardhi Zanzibar ya nini mkuu.

yani kwa mfano huku Tanganyika kuwepo na eneo mathalan 1000km square, na kule Zanzibar ni 1 km square, unaacha chako kingi unaenda kumwambia mwenzio aliyenakidogo akupe na kidogo chake ukimiliki.

huo utakuwa ubinafsi ni kuvutia kwako tu.
 
Chaajabu machogo ndio manalazimisha kuwa pamoja na Zanzibar! Leo hii Zanzibar ingekua Arab sate kwenye Arab league na ingekua na maendeleo makubwa sana! Ikitokea nchi hizi mbili zikatengana nitakua wa kwanza kuhamia na kuwekeza Zanzibar ila kwa sasa nipo nanyonya mali za wajinga watanganyika
 
tangan......samahani ngoja nikafukuze kuku wa mama roda anakula mtama wangu.ntakuja kumalizia sentensi
 
Sasa ardhi yote iliyokuwepo huku bara niende nikanunue ardhi Zanzibar ya nini mkuu.

yani kwa mfano huku Tanganyika kuwepo na eneo mathalan 1000km square, na kule Zanzibar ni 1 km square, unaacha chako kingi unaenda kumwambia mwenzio aliyenakidogo akupe na kidogo chake ukimiliki.

huo utakuwa ubinafsi ni kuvutia kwako tu.
Kama nataka kuishi Zanzibar nimepapenda? Kilimajaro ardhi ni ndogo lakini Morogoro ardhi ipo ya kutosha, kwahiyo watu kutoka Morogoro wasinunue ardhi Kilimanjaro ila wachaga wanunue ardhi Morogoro? shame on you
 
Back
Top Bottom