kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
Ninatafuta kazi, Mimi ni mteknolojia wa maabara za hospitali niliyesajiliwa na baraza la HLPC nina leseni hai na nipo tayari kufanya kazi popote Tanzania.
Natanguliza shukrani🙏
Natanguliza shukrani🙏