kante mp2025
JF-Expert Member
- Nov 11, 2022
- 631
- 1,192
iko wapi hiyo mkuu niunganishe😇Kuna ya ulinzi hapa
nawasikiliziaWatakuja
Mkuu..tafuta kamtaji,fungua duka la dawa na kimaabara cha mchongo vijijini huko..ukapige helaNinatafuta kazi , Mimi ni mteknolojia wa maabara za hospitali niliyesajiliwa na baraza la HLPC nina leseni hai na nipo tayari kufanya kazi popote Tanzania.
Natanguliza shukrani🙏
Nakuelewa sana mkuu sema inabidi nipate hako kamtaji kwanza,maana sina kila kituMkuu..tafuta kamtaji,fungua duka la dawa na kimaabara cha mchongo vijijini huko..ukapige hela
Hizi za serikali uliomba?Nakuelewa sana mkuu sema inabidi nipate hako kamtaji kwanza,maana sina kila kitu
Vp oral hukufanikiwa kupita?Ninatafuta kazi, Mimi ni mteknolojia wa maabara za hospitali niliyesajiliwa na baraza la HLPC nina leseni hai na nipo tayari kufanya kazi popote Tanzania.
Natanguliza shukrani🙏
Ndio ila sikupenya kwa interviewHizi za serikali uliomba?
Ndio jamaaVp oral hukufanikiwa kupita?
Okay upo wap saivNdio jamaa
Mungu akufanikishe.Ninatafuta kazi, Mimi ni mteknolojia wa maabara za hospitali niliyesajiliwa na baraza la HLPC nina leseni hai na nipo tayari kufanya kazi popote Tanzania.
Natanguliza shukrani🙏
Amina ndugu yanguMungu akufanikishe.
nipo mkoani TaboraOkay upo wap saiv
Kazi za lab ni nyingi sana, nitumie namba inbox,nipo mkoani Tabora
Upo mbali sana kama ungekuwa kigamboni Kuna sehemu ilikuwa inakuhitaji mkuuAs
Asee sina bahati, anyway nashukuru kaka🙏Upo mbali sana kama ungekuwa kigamboni Kuna sehemu ilikuwa inakuhitaji mkuu
nakutumia kaka mkubwaKazi za lab ni nyingi sana, nitumie namba inbox,
Asee sina bahati, anyway nashukuru kaka[emoji120]