Mimi ni mtoto wa mama, kula kulala, nina mika 40 na ninataka kuoa

Labda fuatilia ule uzi wa ulianzaje kuishi geto…...utapata dondoo kule
 
Hao mademu uliokuwa unatoka nao ulikuwa unaishi nao vipi mkuu kama hata boxer anakununulia mama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…