Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa domo tu....... Hakuna kazi wala ajira mpya wala annual incrementYule mke aliekutegea housegirl umeshamwacha?
Ili nkifu ugwe, kufwana ngati uka na mahala. Ngwandamo luki kuja gwa kigili ndugelege Ku mama gwangu?Som'ma nkamu ifyinja fyosa ifyo akali ukughona ku'nna..ukutukenyesya twe bhanyambala....
Ghwandile amahelu nkamu...Ili nkifu ugwe, kufwana ngati uka na mahala. Ngwandamo luki kuja gwa kigili ndugelege Ku mama gwangu?
Na mimi naomba nitafutie mchungaji BujibujiKitengo cha kumtafutia wanawake boss
Wewe noma sanaNa mimi naomba nitafutie mchungaji Bujibuji
Mke wangu atakubali?Muombe ushauri mama,anaweza kukuonea huruma ukaishi na mkeo kwake na wote akawapa chakula.
Nsobhile nkamu gwangu, mbelela I kisaGhwandile amahelu nkamu...
Endelea kuwa mtoto wa mama kwa kuwa mtoto kwa mama hakuiWana JF Heri ya mwaka mpya.
Mimi ni baba wa miaka 40 form four leaver, sina ujuzi wala maarifa yoyote ya maisha. Tangu nimalize elimu ya sekondari, sijawahi kufanya kazi yoyote ya kuniingizia kipato. Sijawahi kutengeneza pesa yangu mwenyewe. Kila hela unapewa na mama, hata hela ya kununua boksa.
Sijawahi kupanga wala kuishi maisha ya kujitegemea. Nimeshakuwa kwenye mahusiano ya ki mapenzi na wasichana wengi wasio na idadi, ila sikuwahi kufikiria kuoa. Nina watoto wawili, nilizaa na wasichana tofauti, watoto wanaishi na mama zao.
Kilichonisukuma kuandika uzi huu, ni kwamba kuna Dada nimempata, na nimetokea kumpenda kwa dhati. Nimemuahidi kuwa ntamuoa.
Sasa mchumba wangu huyo anataka nikapange, nianze kujitegemea?
Jamani wazoefu wa maisha naomba mnipe mbinu za kutafuta hela niache kumtegemea mama na Mimi niweze kama wanaume wengine .
Nawashukuru sana.
Vijana kula kuwala watoto wa mama tuko wengi sana DSM, ila Mimi nimejitokeza hadharani. TID ni mwenzangu pia, Toto la mama.
Top in DIT, ni college mate wangu pale D.I.T amegoma kuhama kwao, kwao ni Masaki, na Mimi kwetu SinzaTID ni mwenzangu pia, Toto la mama.
Najuwa fika huu uzi umefungua kwa ajili ya TID
maana umaliziaji wake unamlenga yeye
Ebu tuambie,kwan TID ni mtoto wa mama???
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe umegoma kuhama kwenu?Top in DIT, ni college mate wangu pale D.I.T amegoma kuhama kwao, kwao ni Masaki, na Mimi kwetu Sinza
Noma kilo moja na nusuWewe noma sana
Fisi maji
NtakurogaEndelea kuwa mtoto wa mama kwa kuwa mtoto kwa mama hakui