Mimi ni mwalimu, naacha kazi nijiajiri

Sipendi mikopo japo nalazimishwa kuchukua!
 
Mkuu hii imekaaje, jamaa hawawezi kukutafuta kweli
 
Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri
Ualimu umekufanya uwe na mawazo ya kimadkini, sasa milion 2 zitakufikisha wapi? ukiwa mwajiriwa kwani unakatazwa kujiajiri ?
 
Kuacha kazi hujasimama ni kosa kubwa..

Waajiriwa wengi wanabiashara zao pembeni zinaingiza pesa huku mwisho wa mwezi pia anapokea mshahara...

Kipato chako kinaongezeka mara dufu.

Ukijiajiri na kuacha kazi uliyoajiriwa unaweza jikuta lako linabaki palepale unakuwa umefanya 0.
 
Umenikumbusha ticha mmoja hivi aliacha kazi akafungua mgahawa unakuta anakaanga mihogo yake hana habari
 
I congratulate. Usiache ndoto kufa.
Legend hatuwazi kuajiriwa .
 
Poleni sana...

2017 ndiyo umeleta haya malalamiko, je mpaka sasa umefikia wapi?


Cc: mahondaw
 
Mzee kongole kwanza, mi mwenyewe nimejipa ka mda flani nijipange ili niangalie ustaarabu mwingine nimechoka kutumia effort kubwa kwa ajili ya kunufaisha wengine vitisho na kejeli kutoka kwa maboss kutothaminiwa,dharau na kila aina ya kero kwenye vibarua vyetu...Shame on you maboss mbuzi
 
Dah na mkuu ukishindwa ku-eliminate fear of not having money,im sure u will never change!.....hivyo vyote tunavyoviona ni benefits za kazi kiuhalisia sio benefits ni kama mitego tu umewekewa ili uendelee kubaki huko!
 
Kuna ticha kitaa kidada mbona kimetoboa? Nawashangaa[emoji848]
Sitaki kuwa negative ila jua kwamba kuna watu wameshaweza kuachieve dreams zao through teaching and they are happy to be teachers even wanaume wapo,......for them nawapa hongera but something that makes you happy and successful doesnt mean it will make the other happy too!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…