DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,130
Da kweli hiyo kada inadharaulika sana yaani unashangaa lakini 9 kupata MWL. Sijajua unashangaa as a basic salary or take home?? Vyovyote iwavyo wengi tu wamevuka kiwango hichomshahara wa mwalimu laki 9? hapa hapa tza!
Usilichukulie kirahisi hivyo, sio kila sehemu tuition inafanyika! Maeneo mengine yana changamoto sana!Ujue walimu wengi awajielewi mwalimu degree unalipwa laki 9 harafu unalalamika njaa mnashindwa hata tuisheni
ndio mwalimu degree analamba 9 makato wanachukua 7mshahara wa mwalimu laki 9? hapa hapa tza!
kama ni hivyo mbona huu mshahara unafanya mambo mengine kabisa naona baadhi ya shule za binafsi mishahara huwa hiyo laki 7, kuna watu wanalipwa laki 3 na wanaishi fresh.ndio mwalimu degree analamba 9 makato wanachukua 7
Unataka kujiajiri for wrong reasons na kufikiri kujiajiri ni kuakimbia matatizo yako. Kijana you need a mentor ambaye ni mfanya biabishara akupe A to Z kisha ufanye ifnrmed decision. Biashara inahitaji uifanye kwa moyo ndo utafanikiwa na si kwa sababu ilizozitaja hapo juu. Ushauri wangu mtafute mtu aliyefanikiwa ndo akupe ushauri don't seek advice from losersNinakaribia 30. Nafundisha sekondari, somo la Basic Mathematics. Sina furaha na kazi yangu kwa sababu kipato hakiendani na kasi ninayoipenda. Nimegundua kuwa na degree hakuendani na kipato. Bado tunatishwa tishwa. Walimu nimegundua ni waoga. Hasa kufanya maamuzi magumu na sahihi. Mwalimu wa Tanzania anaishi kimaskini. Naacha kazi, naenda kujiajiri mwenyewe. Kwa heri utumwa, Kwaherini walimu. KWAHERINI. Usiniige kama hujajipanga. Nina sh milioni 2. naenda kuipanda. Hii sio ndogo kwangu. Sirudi tena kufunza.
[emoji27] [emoji106]Najua hapa utapata comments nyingi za kuudhi n kejeli kama umeamua nani wa kukukatisha tamaa, unajua ukifanya kazi unayoipenda hata ukipata hasara huumii unainuka na kujipanga upya
Walimu wa wapi hawa wanaolipwa laki 9?Ujue walimu wengi awajielewi mwalimu degree unalipwa laki 9 harafu unalalamika njaa mnashindwa hata tuisheni
Huyu akiacha kweli maisha yatampiga balaa maana hajielewi - labda kama atajiunga na bavicha humu kutukana na kulaumu serikali 24/7Una busara sana mkuu!
Kuacha kazi sio suala ma mihemuko kama hivyo! Mtu anasema anaacha ajira halafu bado ana muda wa kuanzisha thread za namna hii[emoji18] [emoji18]
Acha kudanganya watu wewe basic salary ya mwl mwenye degree yaani TGTSD1 ni tshs 716000 (laki saba na kumi na sita elfu tu) na take home yake haifiki laki nne na nusuDa kweli hiyo kada inadharaulika sana yaani unashangaa lakini 9 kupata MWL. Sijajua unashangaa as a basic salary or take home?? Vyovyote iwavyo wengi tu wamevuka kiwango hicho
Asikudanganye huyo mwl wa degree anapata basic ya 716000/=kama ni hivyo mbona huu mshahara unafanya mambo mengine kabisa naona baadhi ya shule za binafsi mishahara huwa hiyo laki 7, kuna watu wanalipwa laki 3 na wanaishi fresh.
Ina maana walimu wote wanamadaraja sawa kwa uelewa wako siyo..... yaani walimu wote wenye digrii wanamdhahara sawa???Acha kudanganya watu wewe basic salary ya mwl mwenye degree yaani TGTSD1 ni tshs 716000 (laki saba na kumi na sita elfu tu) na take home yake haifiki laki nne na nusu
Rejea maelezo yako niliyoyarejea mpk kukueleza hili halafu ukumbuke kuwa toka aingie huyu mheshimiwa hakuna cha nyongeza ya mishahara wala increament kwa walimu mbali na kutopanda madaraja so hali ya mshahara wa mwl upo stagnant usisahau kuzingatia kuwa tofauti ya kiwango cha mshahara kwa madaraja tofauti kwa walimu ni kidogo sana yaani mfano mwenye E1 hawezi kujigamba sana kwa mwenye D1 japo wamepishana umri kazini miaka mingiIna maana walimu wote wanamadaraja sawa kwa uelewa wako siyo..... yaani walimu wote wenye digrii wanamdhahara sawa???
Mmmm bwana wewe maneno yote ya nini ninachosema dhana kwamba mwl. hakuna anayepata laki si kweli, sasa ukisema mishahara ipo stagnant kwa sasa hilo bado halitengenezi iyo dhana kuwa ukweli.Rejea maelezo yako niliyoyarejea mpk kukueleza hili halafu ukumbuke kuwa toka aingie huyu mheshimiwa hakuna cha nyongeza ya mishahara wala increament kwa walimu mbali na kutopanda madaraja so hali ya mshahara wa mwl upo stagnant usisahau kuzingatia kuwa tofauti ya kiwango cha mshahara kwa madaraja tofauti kwa walimu ni kidogo sana yaani mfano mwenye E1 hawezi kujigamba sana kwa mwenye D1 japo wamepishana umri kazini miaka mingi
Weee nimekoma kukopajitahidi lkn ukija huku zile tabia za ualimu ziache huku sio kwenye biashara. Lzma uwe na discipline ya pesa tabia zakukopakopa bilasababu usijenazo kulalamikalamika kilawakati kukwepa majikumu mchango mchango yakijingkijinga kusemena nk. utafanikia ukiviacha hukohuko