GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Embu kuwa na moyo kama mtoa mada.
Kwanini na wewe usipigie upinzani halafu uone itakuwaje
Mkuu Shocker, nawe pia ni mojawapo wa wahanga wa wajumbe? All in all, uamuzi huo ni mzuri sana kwa mtu yeyote mwenye kuijali Tanzania ya kesho.Nitabakia CCM ila mwaka huu naamua kufanya maamuzi magumu. Kura yangu nitaipeleka kwa mtu mwengine, mbunge mwengine, simupi mugombea yeyote wa CCM, yaani ni maamuzi ambayo ninataka kuona kama tukishindwa itakuwaje, hao watakao shika uongozi watatufanyia nini, kama ni moto au pepo.
Nione viongozi wetu watakiendeleza chama chetu CCM au watatimkia kusikojulikana na kutuwacha wanachama wao gizani.
Uchaguzi huu kura yangu chama changu cha CCM hakitaiona kuanzia Rais hadi balozi wa nyumba kumikumi,naihamisha na kuiwekeza chama kingine. Ni majaribio ambayo kama mwananchi nina haki na zaidi napenda nione tutakaposhindwa sisi CCM itakuwaje chama kitakufa? Maswali ni mengi kuliko majawabu.
Na zaidi kura ni siri yangu na Mungu wangu, kwenye sanduku hakuna mjumbe wala tarishi ni mimi na sanduku na anaeshuhudia ni Mungu, siogopi kitu kuipeleka kura yangu popote pale ila sio CCM, ili nipate kujua hawa viongozi wetu tutakaposhindwa wataendelea kuwa nasi, au wanatutumia tu kwa wao kushibisha matumbo yao na kutufanya sisi kama ngazi, nahitaji kulijua hili na ili kulijua kwa undani ni kwa mwaka huu kuikosesha kura chama changu.
Shime wana CCM, hamna haja ya kurudisha kadi wala kuhama chama, mwaka huu tu fanya maamuzi magumu kuikosesha CCM chama chetu kura, ili tukwapime hawa viongozi wetu.
Ni shuzi shuzi. Tafsiri isiyo rasmindugu mjumbe 'jambajamba' ni nini
Viongozi wa CCM hana jipya nje ya maslahi yao binafsi. Niamini tuShocker,
Sitokihama Chama changu cha CCM na nitakipigia Kura zote hadi kwa Rais JPM, ila nataka 'Wapinzani' wakipe sana 'Jamba Jamba' ili Kibadilike pia.
jinsi siasa za kibongo zilivyo huwa naangaika na kuchagua raisi hawa wabunge bora liende tu, kwa hiyo raisi ni maguNitabakia CCM ila mwaka huu naamua kufanya maamuzi magumu. Kura yangu nitaipeleka kwa mtu mwengine, mbunge mwengine, simupi mugombea yeyote wa CCM, yaani ni maamuzi ambayo ninataka kuona kama tukishindwa itakuwaje, hao watakao shika uongozi watatufanyia nini, kama ni moto au pepo.
Nione viongozi wetu watakiendeleza chama chetu CCM au watatimkia kusikojulikana na kutuwacha wanachama wao gizani.
Uchaguzi huu kura yangu chama changu cha CCM hakitaiona kuanzia Rais hadi balozi wa nyumba kumikumi,naihamisha na kuiwekeza chama kingine. Ni majaribio ambayo kama mwananchi nina haki na zaidi napenda nione tutakaposhindwa sisi CCM itakuwaje chama kitakufa? Maswali ni mengi kuliko majawabu.
Na zaidi kura ni siri yangu na Mungu wangu, kwenye sanduku hakuna mjumbe wala tarishi ni mimi na sanduku na anaeshuhudia ni Mungu, siogopi kitu kuipeleka kura yangu popote pale ila sio CCM, ili nipate kujua hawa viongozi wetu tutakaposhindwa wataendelea kuwa nasi, au wanatutumia tu kwa wao kushibisha matumbo yao na kutufanya sisi kama ngazi, nahitaji kulijua hili na ili kulijua kwa undani ni kwa mwaka huu kuikosesha kura chama changu.
Shime wana CCM, hamna haja ya kurudisha kadi wala kuhama chama, mwaka huu tu fanya maamuzi magumu kuikosesha CCM chama chetu kura, ili tukwapime hawa viongozi wetu.
UKIKIPIGIA KURA UNAWAPUNGUZIA JAMBAJAMBA MM WANA CCM BY BLOOD ILA THIS TIME NTAMPIGIA NTAEONA ANAMSHINDA WA CCMShocker,
Sitokihama Chama changu cha CCM na nitakipigia Kura zote hadi kwa Rais JPM, ila nataka 'Wapinzani' wakipe sana 'Jamba Jamba' ili Kibadilike pia.
Kama sio selfish ungetambua ubaya wa CCM ila nyie CCM masilahi Bajini huko. Watu tunataka kujenga nchi na sio kutengeneza makundi. Kama tutasifia wote atawezaje kututesa wote?Nimezaliwa ndani ya CCM, nimekuzwa kwa Mfumo wa CCM, nimekuwa na Maisha ya CCM, sijaona ubaya wa CCM na nitakufa nikiwa mwana CCM.
Sasa mbona unataka wenzako wasiyumbe??Mimi siyumbi kama wewe.
mimi nimezaliwa ndani ya CCM na mpaka sasa sijawai kuyumba.
Hawa ni ccm tumboni. Unaona huyo jamaa genta anajua kabisa chama ni cga hovyo na anatamani kipigwe jamba jamba lakini eti atakipigia kura😅😅Kama sio selfish ungetambua ubaya wa CCM ila nyie CCM masilahi Bajini huko. Watu tunataka kujenga nchi na sio kutengeneza makundi. Kama tutasifia wote atawezaje kututesa wote?
Hekta mcmbazi mwenzangu ila kwa ccm we are too tofautiHawa ni ccm tumboni. Unaona huyo jamaa genta anajua kabisa chama ni cga hovyo na anatamani kipigwe jamba jamba lakini eti atakipigia kura😅😅
Endelea kuyumba.Sasa mbona unataka wenzako wasiyumbe??
Raisi mzima wa Nchi anaogeshwa madawa na mizizi usiku wa manane kwa kumuogopa LissuMimi siyumbi kama wewe.
mimi nimezaliwa ndani ya CCM na mpaka sasa sijawai kuyumba.
Huna akili weweNitabakia CCM ila mwaka huu naamua kufanya maamuzi magumu. Kura yangu nitaipeleka kwa mtu mwengine, mbunge mwengine, simupi mugombea yeyote wa CCM, yaani ni maamuzi ambayo ninataka kuona kama tukishindwa itakuwaje, hao watakao shika uongozi watatufanyia nini, kama ni moto au pepo.
Nione viongozi wetu watakiendeleza chama chetu CCM au watatimkia kusikojulikana na kutuwacha wanachama wao gizani.
Uchaguzi huu kura yangu chama changu cha CCM hakitaiona kuanzia Rais hadi balozi wa nyumba kumikumi,naihamisha na kuiwekeza chama kingine. Ni majaribio ambayo kama mwananchi nina haki na zaidi napenda nione tutakaposhindwa sisi CCM itakuwaje chama kitakufa? Maswali ni mengi kuliko majawabu.
Na zaidi kura ni siri yangu na Mungu wangu, kwenye sanduku hakuna mjumbe wala tarishi ni mimi na sanduku na anaeshuhudia ni Mungu, siogopi kitu kuipeleka kura yangu popote pale ila sio CCM, ili nipate kujua hawa viongozi wetu tutakaposhindwa wataendelea kuwa nasi, au wanatutumia tu kwa wao kushibisha matumbo yao na kutufanya sisi kama ngazi, nahitaji kulijua hili na ili kulijua kwa undani ni kwa mwaka huu kuikosesha kura chama changu.
Shime wana CCM, hamna haja ya kurudisha kadi wala kuhama chama, mwaka huu tu fanya maamuzi magumu kuikosesha CCM chama chetu kura, ili tukwapime hawa viongozi wetu.