Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Aaah we usijitie huoni. Yaani nimerudia, nimebold na kubold halafu bado unataka nidefine upya.

Labda uniambia umeireject hiyo picha yangu ya Mungu alivyo ['definition']. Sema kuwa umeidebunk hiyo picha ninayokuchorea tujue moja.
Kile ulichokiandika uka hold nikajua umetania kumbe ume maanisha

Watu na mimea ndio Mungu

Sasa ikiwa ndio hivyo unadhani kuna haja ya kwenda step inayofuata kuthibisha?

Yani kwa tafsiri fupi ni kwamba umeamua kuitambua mimea na wanyama kwa jina la Mungu
 
Scars You mean this one? wapi nilisema mimea ni mungu?
Unajua unachanganya mambo mengi mpaka nashindwa kukuelewa

Kwanini unatumia hoja ya vitu ambavyo vinathibitishika kama jaribio la kuthibitisha madai mengine ambayo hayajathibitishwa?
 
Mungu yupo kama hivi: [analojia] Yaani chukulia mimi na wewe na mimea na wanyama na kila kitu ni kama seli zilizo chini ya Mungu mmoja.? Ukijumlisha na concept ya draga kuwa ni nishati. Nishati ambayo inachukua form mbalimbali kulingana na inapojiexpress, na kikwetu ipo conscious.

Nataka tukubaliane kama unakubali hii picha[definition] mr Scars ?
 
Unajua unachanganya mambo mengi mpaka nashindwa kukuelewa

Kwanini unatumia hoja ya vitu ambavyo vinathibitishika kama jaribio la kuthibitisha madai mengine ambayo hayajathibitishwa?
Noo hapa sithibitishi kitu, mbona bado tupo katika level ya kudefine kwanza

Tukubaliane kwanza kama tunaelewa tunatafuta uthibitisho wa phenomenon gani, ndio tuanze kuitafuta
 
Mungu yupo kama hivi: [analojia] Yaani chukulia mimi na wewe na mimea na wanyama na kila kitu ni kama seli zilizo chini ya Mungu mmoja.? Ukijumlisha na concept ya draga kuwa ni nishati. Nishati ambayo inachukua form mbalimbali kulingana na inapojiexpress, na kikwetu ipo conscious.

Nataka tukubaliane kama unakubali hii picha[definition] mr Scars ?
Mi nafikiri utambuzi wa kujua kuwa tupo chini ya Mungu ulipaswa kuzingatia hitimisho liliopatikana baada ya uchunguzi ulioweza kuthibitisha Mungu yupo

Labda ni flip hiyo hoja kwa namna nyingine halafu nione kama utakubaliana nayo

Yani isomeke mimi na wewe tuwe chini ya Spiderman ambaye ndiye controller anatu monitor sisi,

Vipi hapo hiyo itakuwa ni nice move kwa kuthibitisha spiderman yupo?
 
Noo hapa sithibitishi kitu, mbona bado tupo katika level ya kudefine kwanza

Tukubaliane kwanza kama tunaelewa tunatafuta uthibitisho wa phenomenon gani, ndio tuanze kuitafuta
Anhaa kwamba ile hoja ya kusema wewe na mimi tuko chini ya Mungu ni kama definition?

Sasa iweke iwe clear maana imekuwa na paradox kiasi inanipa ugumu kuielewa

Halafu utanaiambie hiyo ni definition mahususi kwa kum refer Mungu gani

Kumbuka kuna thousands of gods
 
Mi nafikiri utambuzi wa kujua kuwa tupo chini ya Mungu ulipaswa kuzingatia hitimisho liliopatikana baada ya uchunguzi ulioweza kuthibitisha Mungu yupo

Labda ni flip hiyo hoja kwa namna nyingine halafu nione kama utakubaliana nayo

Yani isomeke mimi na wewe tuwe chini ya Spiderman ambaye ndiye controller anatu monitor sisi,

Vipi hapo hiyo itakuwa ni nice move kwa kuthibitisha spiderman yupo?
Shida ni kwamba hatuwezi kuthibitisha kwenda juu maana tumo ndani ya kithibiti.

Ila tunaweza kwa kuangalia chini yetu tukasoma kwamba anhaaa kumbe na juu inawezekana pako namna hii. Kuna kitu mimi kilinisaidia pamoja na hii baiolojia. Nacho ni fractal geometry. Kacheki haka kajani na sisi ndio hizo nimeindicate 'maelfu ya seli'
BABA NA MWANA.jpg
 
Shida ni kwamba hatuwezi kuthibitisha kwenda juu maana tumo ndani ya kithibiti.

Ila tunaweza kwa kuangalia chini yetu tukasoma kwamba anhaaa kumbe na juu inawezekana pako namna hii. Kuna kitu mimi kilinisaidia pamoja na hii baiolojia. Nacho ni fractal geometry. Kacheki haka kajani na sisi ndio hizo nimeindicate 'maelfu ya seli'View attachment 2234845
Kama huwezi kuthibitisha umewezaje kujua kua Mungu yupo?
 
Kama huwezi kuthibitisha umewezaje kujua kua Mungu yupo?
It feels right, it feels like this is the way things are. It resonates with deep inside me. It agrees with all the truth I have known untill today.

I have some reasons to trust this insight, I have not seen a fact that contradicts with this truth.

And I choose to believe in the revelation of further truth. The truth which I could not discover all by myself. But the Son revealed it to us. We are of God our Father and we live for mankind. Usiku mwema bro👊.
 
It feels right, it feels like this is the way things are. It resonates with deep inside me. It agrees with all the truth I have known untill today.

I have some reasons to trust this insight, I have not seen a fact that contradicts with this truth.

And I choose to believe in the revelation of further truth. The truth which I could not discover all by myself. But the Son revealed it to us. We are of God our Father and we live for mankind. Usiku mwema bro👊.
Nawe pia
 
Hujaelewa

Umenipa ruksa ya kujichangulia aina ya uthibitisho kwa maana upo mwingi

Mimi nimetaka uchague wewe kwa kuzingatia uthibitisho wenye nguvu ambao hata wewe unaupa asilimia kubwa za kujengea hoja kuliko uthibitisho mwingine
Uthibitisho ni mimi binafsi tu nmejitambua, mimi ni nan nikiondoa majina yote kazi zote rangi yangu na identity zote nizopata huku duniani, huu ni uthibitisho sahihi kabsa , ila mimi kukudhibitishia wewe unatakiwa uamke kwanza ndio utaelewa, sasa wewe umelala ndani yako unaoperate kiakili zaidi itakua ni ngumu japo naweza kukudhibitishia ukiamka.
 
Uthibitisho ni mimi binafsi tu nmejitambua, mimi ni nan nikiondoa majina yote kazi zote rangi yangu na identity zote nizopata huku duniani, huu ni uthibitisho sahihi kabsa , ila mimi kukudhibitishia wewe unatakiwa uamke kwanza ndio utaelewa, sasa wewe umelala ndani yako unaoperate kiakili zaidi itakua ni ngumu japo naweza kukudhibitishia ukiamka.
Nimekuheshimu;

Wapingaji wote wameonekana kutojitambua. Ukiwauliza maswali yanayoelekeana na hilo wote huwa wanapoteana
 
Ili kumdhibitisha Mungu unatakiwa ujitambue kwanza kuwa wewe ni tofauti na mnyama unalazaidi ndani yako , ukishajua hvyo unatakiwa kuitambua matrix kwanza ,mfano wa matrix ni mifumo yote iliyopangiliwa na binadamu wajanja wachache ( secreate society) kma dini na na mifumo yote ya maisha .ukishaitambua utajua dhumuni la maisha ni nini ?ukishatambua hilo unatakiwa uzame ndani yako kiasili kabsa ,hapa wengne hufanya spiritual meditation ya light and sound na sio meditation zilizozoeleka za mind, ukiweza kufikia huku utakua upo free utajua ukweli ni upi uongo ni upi from univesal memory ,kwa sababu memory ya vitu vyote mpka uumbaji vipo wazi kabsa .
 
Nimekuheshimu;

Wapingaji wote wameonekana kutojitambua. Ukiwauliza maswali yanayoelekeana na hilo wote huwa wanapoteana
Hawa jamaa wala hawana shida ,dini zimeuficha ukwel makusudi ndo maana nafsi za hawa zimeshindwa kuridhika na majibu mepesi ya Kwenye dini kuhusu Mungu, coz wanajua kabsa kutokea ndani apa wamedanganywa makusudi coz ndani yao wanamjua Mungu wakweli ila wanashindwa kujua watamfikiaje kwa sababu Hawaoni msaada kupitia dini zao.
 
Uthibitisho ni mimi binafsi tu nmejitambua, mimi ni nan nikiondoa majina yote kazi zote rangi yangu na identity zote nizopata huku duniani, huu ni uthibitisho sahihi kabsa , ila mimi kukudhibitishia wewe unatakiwa uamke kwanza ndio utaelewa, sasa wewe umelala ndani yako unaoperate kiakili zaidi itakua ni ngumu japo naweza kukudhibitishia ukiamka.
Wewe kujitambua kuna uhusiano gani hapo na swala la kuwepo Mungu?
 
Wewe kujitambua kuna uhusiano gani hapo na swala la kuwepo Mungu?
Mungu yupo ndani yako sasa usipo jitambua utamjuaje? Mwili wa mtu nikama nyumba na umeme ni kama Mungu,ukitaka kudhibitisha nyumba ina umeme utaangalia effect ya ule umeme kwa nje na kwa ndani yaani mwanga, ukitaka kumjua Mungu kupitia mtu Angelina nguvu ya uhali ndani yake , pia ngalia Matendo ya uumbaji kwa nje mfano kuzaliana utashi na np note: nguvu hii ipo kila mahali
 
Reality, tumetoka kuiweka sawa nilipomjibu kwa post namba 225. Najua ameisoma na kuikubali na hajataka tu kuitolea majibu [nimechukulia silence means yes]

Tukiachana na pande tulizoshikilia [za God or no God] kuna kitu kimoja hapa natamani kila mmoja binafsi akichallenge kwa uelewa wake kwa kile anachoona ni sensible:

Hoja kuu: Tunauishi ukweli kulingana na tunachohisi ni kweli binafsi. Yaani mimi binafsi ninaushi ukweli ninaoujua binafsi kwamba ni ukweli na ndio iko hivyo. Na wewe binafsi unauishi uhalisia wako binafsi kutokana na unachokijua kuwa ni kweli wewe mwenyewe. Mambo ya relativity.

Mfano 1.a. Yule anayeamini ukweli wa maisha baada ya kifo basi akifa ataendelea kuishi katika namna sambamba na alivyoamini. Huyu ameamini katika uhai

1.b. Na yule aliyeamini kuwa hakuna lolote la ziada ukweli ni mnyama akifa kila kitu kinasambaratika na kuwa viinilishe kwa wanyama wengine basi akifa atapata sambamba na ukweli wake binafsi. Huyu ameamini katika kifo
Ung'amuzi: Mtu afikiriavyo/awazavyo/aaminivyo huumba hali ambazo humtokea akaziishi katika hali ya uhai na ufu

Kama maisha yetu yanaratibiwa na fikra/yakini/mawazo yetu tu "no divinity" hilo linawezekana, japo naona ka-confliction ndani ya hiyo nadharia tete

Mangapi katika uhai wetu hufikiriwa/huwazwa/huaminiwa na huwa hayawi/hayatokei? Kwa mfano: Wapo wanaoamini hamna kufa, je hilo huwafanya wasife? Fikiri mifano mingine utaona upungufu
 
Kwani kunanini kinachokupa nguvu kusmea hakuna the last creator ?
Ugumu ule ule ambao unaoupata wewe kusema kuwa kuna spiderman, teapot inayo orbit jua, unicorn nk
 
Back
Top Bottom