Mimi ni mwanabaiolojia na huu hapa ndio uthibitisho wa uhalali wa Mungu(2)

Ongea na Mungu mwambie kule Ukraine watu aliowaumba Putin anawaua kinyama bila huruma yoyote. Mbona Mungu kanyamaza!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mungu muweza wa yote kashindwa kutumia uweza wake kuzuia vita
 
Ongea na Mungu mwambie kule Ukraine watu aliowaumba Putin anawaua kinyama bila huruma yoyote. Mbona Mungu kanyamaza!
Dah hii dunia ina watu Wa ovyo sana,,,watoto kama nyinyi bora mnhepigiwa nyeto mkaishia chooni
 
Hahaha nlikuwa nawaza hivi hivi nlivyokuwa form 6
Lakini sivyo Mimi ili niishi nategemea seli lakini mungu hategemei chochote anaweza kuishi pekeake bila kuwepe na kitu chochote
 
Hahaha nlikuwa nawaza hivi hivi nlivyokuwa form 6
Lakini sivyo Mimi ili niishi nategemea seli lakini mungu hategemei chochote anaweza kuishi pekeake bila kuwepe na kitu chochote
Ndiyo, kuweza anaweza sana tu.

Lakini hakuamua kufanya hivyo, yani kuishi kwa ajili yake mwenyewe tu akaamua kuumba kila kitu ni kama kutoa uhai na kuvipa maisha vitu vyote na akaona kuwa hiyo ndio njia nzuri zaidi ya kuishi. Kwa hivo itabakia kkuwa kweli milele kuwa: NI HERI ZAIDI KUTOA KULIKO KUPOKEA. Na usipotaka kufanya yote hayo ya kutoa na kupokea kiingereza wanasema you are as good as dead tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…