Kwa nini kaka? , uko mbona mbali sanaSubiri subiri kwanza kiongozi walau ufike 30 hivi
hapa JF ndio mtaani, shule, chuoni, kazini na kwenye nyumba za ibadaMtaani, shule, chuoni, kazini kwenye nyumba za ibada umekosa hadi uje kutafuta huku mitandaoni?
.........Huku utapata waliokuhubu mdogo wetu.
Huwa hatubishani nawa kubwa.27 mboni bado sana unawahi wapi subiri ufike angalau 40 au 45 angalau ndio uoe hapo hata mkeo akienda kuliwa nje huko huna cha kujutia ushakula raha vya kutosha unajiuguza kisukari chako sasa 27 na unataka 20 mpaka 26 kesho kutwa tutasikia umemtenganisha kichwa na mwili wake ungesema awe na miaka 15 au 16 ningekuelewa km huna akili huwezi kunielewa
Ushamshenyenta huyo au kuishia kuchat tu kusugulia husuguliiWahi mkuu uyazoee maisha ya ndoaView attachment 3185237
Wewe umeijua nia yangu.Du 27! Ila freshi kwasababu za kidini... hutaki kuzini .
Chuma bado mpyaUshamshenyenta huyo au kuishia kuchat tu kusugulia husugulii
Kashachomoa betrii huyo ushafeli nakupa code akifika kipengele cha tuma laki 2 au laki 3 nikasuke sijui nifanye waxing angalia mbele kuna kona kali kisha angalia vizuri mbele kuna tuta usije ukaingia mtaroni tutakuokota
Mwambie basi huyo mkubwa akuletee mke umuoe km kweli hautaki kubishana nae mwambie mimi mke nimekosa niletee mke kutoka huko bush mije nile nae dona huku mjiniHuwa hatubishani nawa kubwa.
Hahahahaha sawa bro.Mwambie basi huyo mkubwa akuletee mke umuoe km kweli hautaki kubishana nae mwambie mimi mke nimekosa niletee mke kutoka huko bush mije nile nae dona huku mjini
Ataijua mbivu na mbichiKwa nini kaka? , uko mbona mbali sana
Mbona mnanitisha jamaniNakuonea huruma sana
Sikutishi, kwa umri wako na matatizo unayoyatafuta ni vitu viwili tofauti.Mbona mnanitisha jamani