Mimi ni Mwanaume wa miaka 27, natafuta mke wa kuoa

Mimi ni Mwanaume wa miaka 27, natafuta mke wa kuoa

hapa JF ndio mtaani, shule, chuoni, kazini na kwenye nyumba za ibada
Hakuna wife material utayempata humu.

..........Jiandane kubeba UTI sugu na matatizo mengine yote.
 
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.

Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,

*awe mkristo

*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara

awe na miaka kwanzia 20 adi 26.

*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
watoto wa 2000 mchongo huo
 
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.

Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,

*awe mkristo

*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara

awe na miaka kwanzia 20 adi 26.

*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
Weka wazi matatizo uliyo nayo hadi kuja online
 
😂😂 mwamba kichupa kimejaa ,huku wakuu wa hizi kazi wanamwambia mda badoo,, subiri kwanzaaaaa, ,, kijana kavurugwaaaa hadi anauliza"""Kwani ni mapema sana ?"""
 
Back
Top Bottom