Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Hakuna wife material utayempata humu.hapa JF ndio mtaani, shule, chuoni, kazini na kwenye nyumba za ibada
..........Jiandane kubeba UTI sugu na matatizo mengine yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wife material utayempata humu.hapa JF ndio mtaani, shule, chuoni, kazini na kwenye nyumba za ibada
watoto wa 2000 mchongo huoMimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.
Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,
*awe mkristo
*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara
awe na miaka kwanzia 20 adi 26.
*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
Hahahahaha sitaki kuchelewa sanaMiaka 27 unawahi nini humo kwa ndoa jombaa
Utapakumbuka uraiani mkuuHahahahaha sitaki kuchelewa sana
Siyo rahisiUtapakumbuka uraiani mkuu
Sawa save this!Siyo rahisi
Weka wazi matatizo uliyo nayo hadi kuja onlineMimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni mkristo.
naishi DAR
kazi yangu ni muajiliwa
elimu yangu ni DIPLOMA.
Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,
*awe mkristo
*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara
awe na miaka kwanzia 20 adi 26.
*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
Okay27 oa tu wa 18-24 atleast
ThanksAll the Best
Kwani ni mapema sana ?Kijana unakimbilia wapi? Jipatie kwanza muda kidogo.