"Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

Duuh,ndugu yangu bado hujakata tamaa licha ya kushinda unalamba viatu vya watu kwa ulimi,kazana lakini lichama linawenyewe,kama huamini muulize Shigongo.
 
Amini nawaambia mkuu wa malaika atakuja kuwa mwalimu mzuri wa demokrasia akishakuwa nje ya mfumo kwa kuyakosoa makosa yake.Watawala wa kiafrica huwa na akili wakishastaafu sijui kule ndani kuna dawa gani zinazolaza akili zao wakiingia
 
Kaka Pascal Mayalla mimi ni Mhaya, lakini maisha yangu yote ya kazi ya miaka 21sasa nimefanya Nazi Usukumani. Wasukuma wana " KA" na "LI". Hizi silabi zikitumika kama prefix kwenye jina au cheo cha mtu yana maana tofauti na umbo la mtu.
 
Yaani kwa akili za kawaida tu unaweza kumfananisha JPM na Iddi Amini?
Sijui uelewa wako ukoje anyway and your level of training, read this and make a distinction

10 Ways to Tell if Your President Is a Dictator

1. Systematic efforts to intimidate the media.

2. Building an official pro-president media network.

3. Politicizing the civil service, military, and domestic security agencies.

4. Using government surveillance against domestic political opponents.

5. Using state power to reward corporate backers and punish opponents.

6. Stacking the Judiciary.

7. Enforcing the law for only one side.

8. Really rigging the system.

9. Fear mongering.

10. Demonizing the opposition.
 
Hayo mengine ni kama umejaza ukurasa kumaliza wino. Swali la msingi ungejiuliza anatawala kwa kufuata misingi ya sheria na katiba? Anatumia presidential decrees kutawala?
 
Mkuu Bana likasi ume summarise vizuri sana. Sina la kuongeza
 
Hayo mengine ni kama umejaza ukurasa kumaliza wino. Swali la msingi ungejiuliza anatawala kwa kufuata misingi ya sheria na katiba? Anatumia presidential decrees kutawala?
Huna haja ya kuuliza level of training kama umeenda shule. Hujui kama amri za viongozi huwa sheria ili mradi zisivunje katiba.Alitoa amri ili afanye kazi na amefanya. Alitoa amri wabunge wafanye siasa majimboni. Any way inaonekana unatumwa uandike nini, kama ungekuwa umeenda shule ungejua,orders na declarations za viongozi ni sheria.
 
Hayo mengine ni kama umejaza ukurasa kumaliza wino. Swali la msingi ungejiuliza anatawala kwa kufuata misingi ya sheria na katiba? Anatumia presidential decrees kutawala?
Hafuati utawala wa sheria (Rule of Law), anasigina katiba, anaminya uhuru wa kujieleza, ana double standards
 
Seriously alihitaji kuwakumbusha wanachato yeye ni nani? Basi hawana shukrani, Mheshimiwa Raisi amejitoa kuisongesha mbele Chato hata muda ambao watu walikosoa baadhi ya maamuzi yake. Mfano kujenga barabara, jengo la TRA, hifadhi, kuwaepusha na bomoa bomoa.

Hawana shukurani
 
Sijui kama P na wengine walikuwa weshazaliwa wakati Tz ilipojikuta iko jirani na Dikteta.
Baada Jaji Mkuu wa Uganda Ben Kiwanuka kuuawa, Bishop Festo Kiverengere wa Church of Uganda aliongoza maaskofu karibu 12 wa makanisa mbalimbali kwenda kuonyesha masikitiko yao kwa General Idd Amin Dada ikiwa ni karibu mwaka mmoja unusu tangu ajitwalie urais wa nchi.
Iddi Amin aliwapokea vizuri sana na yeye mwenyewe kuwatumbuiza kwa kinanda(accordion) pamoja na uchangamfu mkubwa/vichekesho. Wengi wao kwa moyo mweupe wakaamini kuwa anasingiziwa na zaidi kuna 'vijitu' vichache ambavyo vinamchafulia RAIS mpendwa/mkombozi, jina lake. Lakini kabla ya mwezi kuisha, walianza kushambuliwa na vikundi vya maaskari mpaka majumbani, kutekwa na kuuawa.
Waliosalimika na kuelezea mikasa yao ni (kama) 4 akiwemo Bishop Kivengere, ni wale waliowahi kukimbia kwenda ukimbizini.
Madikteta ndivyo walivyo, ni mabingwa wa maigizo.
HATUDANGANYIKI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…