"Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

"Mimi ni Mwenzenu Hapa, Sijabadilika ni Yule Yule "KaJoni" - Ni Maneno Simple, Humble and Down to Earth Yenye Maana Kubwa!

Paskali, once ka-joni always ka-joni, hiyo ni special kwa watu fulani tu. Kumbuka mara mbili amewahi kutamka kwamba "msiwavunjie nyumba zao hawa. Walinipa kura zao". Wakati anatamka hayo, bomoa bomoa ya kufa mtu ilikuwa inaendelea maeneo ya kimara. Kwa hiyo huko usukumani alikuwa ka-joni, huku kwingine alikuwa Li-Joni.

Kwa Psychoanalysts, utasema ni kesi ya Dr. Jekyll and Mr. Hyde? kwa sababu kwa upande mmoja anawachukia sana watu wa kaskazini toka moyoni kabisa, anawachukia wapinzani toka moyoni kabisa. Mpaka anahoji inawezekanaje mtu kabisaa na akili zake, amwamini mtu anaitwa Mushi?

Kwa upande mwingine, anawapenda sana watu wa kanda ya ziwa, toka moyoni kabisa. Kwa hiyo naomba hiyo psychoanalysis yako uiongezee hizo parameters. Ni genuine Aina shaka, lakini ni kwa watu fulani tu.

Huwa namtizama sana rais Magufuli anapohutubia. Kuna wakati anataka kuhakikishia hadhira kwamba yeye siyo mtu mbaya. Kuna siku nilimsikia akitamka kwamba "jamani, mimi sio kichaa", halafu akatabasamu. Yaani lile tabasamu lilinitisha. Halikunipa matumaini.

Nikamkumbuka James Hadley Chase Katika novel moja jamaa anasema "it is like you meet a snake and it smiled at you. You won't be reassured".
 
Wanabodi,
"This man is changing for the better" tunaweza kushangaa kuja kufikia 2025, rais Magufuli aka end up kuwa the best president this country had ever had.
Pasakali.
Naendelea kusisitiza, kama tunataka the best, twende tukapige kura, na tumchague
P
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la hoja ngumu zinazoitwa abstract, na zinahusu kitu kinachoutwa psychoanalysis, mtanisamehe, sikijui Kiswahili cha abstract wala psychoanalysis, lakini inahusu kumsikiliza mtu kauli na kuibaini kama inatoka moyoni au mdomoni. Ili uweze kuibaini kauli ni ya kutoka moyoni lazima na wewe uwe na jicho la roho, hivyo kwa uzoefu wangu humu jf, issues za psychoanalysis zinachangiwa na watu wachache kwasababu ni abstract.

Sisi binadamu tumeumbwa na uwezo tofauti wa uelewa kuanzia kwenye kusoma maandishi hadi kwenye kusikiliza na kuelewa maneno yanayotamkwa na mzungumzaji kama ni ya kweli, yanatoka mdomoni tuu au moyoni, kumaanisha one just speaks to say something or one's speaks and real mean what he/she says.

Kwenye kusoma maandishi utaalamu wa kubaini psychological state of a writer wakati anaandika, unaitwa graphology, zamani kwenye barua za kuomba kazi sehemu nyeti, waombaji walitakiwa kuandika barua kwa mkono, na wataalamu wa graphology, walizipitia barua hizo na kuamua wamuite nani kwenye interview, na siku ya interview hatua ya kwanza ni kuandika jina lako kwenye karatasi kujisajili, mwandiko usipofanana, unaishia hapo hapo mlangoni.

Wataalamu wa kubaini genuineness ya kauli, kama mtu akitamka maneno fulani yanatoka moyoni au mdomoni tuu inaitwa intuition, hii intuition kila mtu anayo, ila wanawake wanakuwa more sensitive kuliko wanaume, ndio maana ukiwatokea, unapigwa kwanza kalenda ili wajiridhishe, na kusema ukweli, kwa sisi wanaume wa off side tricks, kuna wake zetu wengi wanajua tuu, tunavyopiga mipira ya kona ila hawasemi.

Ukimtamani msichana mrembo kwa tamaa tuu za mwili ili kumtumia, yaani lust and infatuation, utamwambia "I love you" na mtu ukimpenda msichana huyo kwa upendo wa kweli, true and genuine love, pia utamwambia "I love you"

Kati ya wawili hao kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo, huyu mrembo anayependwa, how will she know, kama anapendwa kweli au anatamaniwa tuu atumike na kutoswa?.
Kitu kinachoitwa female intuitive kitamhulisha huyu mwanamke nani ni mkweli na nani ni muongo.

Utabaini kwa kusikiliza sauti kutoka ndani yako, yaani listening to yourself ili usikie, the voices from within, the voices from inside by listening to yourself. Hata hivyo dada zetu wengi hupotea maboya ukiingia kwa gia kubwa, kwa kutumia universal language, wengi hukubali kulainika na kuingia kingi kirahisi japo moyoni wanaisikia kabisa sauti ikiwaambia wanadanganywa!. Na kwa wale mangurubange wa danga chee, wao wanaangalia tuu usawa wa salio na sio mapenzi hivyo hapendwi mtu bali...

Kutamka kitu kinachotoka mdomoni na sio moyoni kinaitwa paying lip services, unapofika mwaka wa uchaguzi wanasiasa wengi wanazungumza mengi kutoka mdomoni tuu na sio moyoni. Wanazungumza kile ambacho wananchi watapenda kusikia hata ikibidi kutoa ahadi za uongo ili kupata kura.

Elimu ya kufanya uchambuzi wa kauli za viongozi kama wanasema kweli au just paying lip services, inaitwa psychoanalysis scrutiny ya baadhi ya kauli za viongozi wetu.

Mimi ni miongoni mwa wana jf wachache ambao from time to time, huwa nawaletea psychoanalysis scrutiny ya baadhi ya kauli za viongozi wetu, miongoni mwa issue niliyoifanyia scrutiny kubwa humu ni issue ya makinikia, nikisema zile tume mbili zilifanya lip services ya kitu bwana mkubwa alichotaka kusikia, tukaja na bili ya ajabu ya dola bilioni 190 za kutosha Noah ya kila Mtanzania, ukweli ulipobainika, deni hilo liliyeyuka, tukaambulia kile kile kushika uchumba cha dola milioni 300 kinacholipwa ndani ya miaka 7!.

Leo nimeisikia kauli hii

"Mimi ni mwenzenu hapa, sijabadilika ni yule yule "KaJoni". Kauli hii japo ni maneno machache simple, lakini yamebeba maana kubwa sana, hii kauli ni kutoka moyoni, ambayo inaonyesha humbleness, simplicity and down to earth ambayo ina maana kubwa sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Kufuatia baadhi ya makabila kuwa na mijitu yenye miili mikubwa, mijitu ya miraba minne, akitokea mtu mwenye umbo dogo, jina lale linatanguliwa na neno "ka", "kapasiko", hivyo zamani enzi za utotoni, udogoni, kule kijijini Chatto, kumbe rais Magufuli alikuwa anaitwa "KaJoni" kujulisha kuwa jina lake ni Joni, lakini kutokana na kuwa na umbo dogo akawa anaitwa KaJoni.

Mtu anaye kuwa kwa kuitwa kwa prefix ya neno ambalo ni deamining kuonyeshea udogo au kudogoshwa akiukwaa ukubwa hadi kuwa ni rais wa nchi....

Kwa muda mrefu humu mimi nimekuwa nikichambua baadhi ya kauli za viongozi, kwenye kauli nzuri nazipongeza na kaulu mbaya nazikosoa.

Kauli hii niliyousikia leo, ya "Mimi ni mwenzenu hapa, sijabadilika ni yule yule "KaJoni", ni kauli yenye maana kubwa sana ya self realization of going back to his roots. Japo rais Magufuli alikuwa akizungumza na Wana Chato, kuwaeleza kuwa japo kwa sasa mimi ni rais wa JMT, ni mtu mkubwa sana, mwenye nguvu nyingi na mamlaka na madaraka makubwa kama rais wa nchi na Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, lakini kwa nyinyi wana Chato, mimi ni mwenzenu yule yule KaJoni, huu urais wa JMT, vyeo, madaraka, mamlaka, ni vitu vya kuja tuu na kupita, lakini mimi ni yule yule KaJoni ka Chato.

Katika baadhi ya analysis zangu kwa kauli za viongozi, niliwahi kusema baadhi ya viongozi wana kauli za kujiinua mno, kauli hizo za kujiinua zilizoanzia juu, zikapelekea viongozi wa chini nao kujiinua wakiwemo ma RC hadi vi DC navyo vimejiinua hadi masikio kutaka kuzidi kichwa kwa kuongea kwa vitisho, ukali, kugomba na kusweka watu ndani ikiwemo kutukana watu hovyo hata waliowazidi umri!.

Kitendo cha rais Magufuli kuwaeleza wana Chato, yeye ni yule yule KaJoni, inatuma ujumbe mzito wa kujishusha na kujinyenyekeza, humbleness, being down to earth, na kuongea kwa humility ambazo ni changes for the better ambazo nimekuwa nikizisema kwa mtu huyu kuwa "This man is changing for the better" tunaweza kushangaa kuja kufikia 2025, rais Magufuli aka end up kuwa the best president this country had ever had.

Mwelekeo wa kauli kama hizi kwa mwaka wa uchaguzi, they are expected, kwasababu huu ni mwaka wa viongozi kuwarudia wananchi kujinyenyekeza kuombea kura, wanasiasa wenye kauli za maudhi na majigambo ya jeuri ya mamlaka, wanapojinyenyekeza kuomba kura, ndiko paying lip services kwenyewe ninako kuzungumzia, lakini kwa kauli hii ya rais Magufuli, mimi kwa kuisikiliza nimeibaini, kuwa ni bonafide genuine imetoka moyoni na sio lip services, hivyo haitegemewi mtu ambaye ni humbleness hii na down to earthiness hii akaja kujiinua tena na urais kumpanda tena kichwani!

Once KaJoni, always KaJoni!,
Hongera sana rais Magufuli, kujishusha kutoka Joni hadi KaJoni, utabarikiwa sana na Tanzania itabarikiwa.

Pasaka Njema
Pasakali.

Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Hii kauli ya sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi inabidi muache kuitumia maana haina maana hata kidogo.

Fikiria: wote waliokufa hakuna mtu wa motoni kwa kuwa Mungu amewapenda zaidi? Tafakari.
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
Kamefufukia wapi haka nako?
 
Hii kauli ya sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi inabidi muache kuitumia maana haina maana hata kidogo.

Fikiria: wote waliokufa hakuna mtu wa motoni kwa kuwa Mungu amewapenda zaidi? Tafakari.
Mungu ndiye muumba wa vyote, God The Creator, and the giver of life. It's only God who takes away the life, yaani kila kifo ni kazi ya Mungu, baada ya hapo ndipo unakwenda kwenye hukumu ya mwisho ya ama kwenda mbinguni ama peponi.
P
 
Mungu ndiye muumba wa vyote, God The Creator, and the giver of life. It's only God who takes away the life, yaani kila kifo ni kazi ya Mungu, baada ya hapo ndipo unakwenda kwenye hukumu ya mwisho ya ama kwenda mbinguni ama peponi.
P
Hivi ni kweli ccm walimtukuza mtu badala ya Muumba?
 
H
Mungu ndiye muumba wa vyote, God The Creator, and the giver of life. It's only God who takes away the life, yaani kila kifo ni kazi ya Mungu, baada ya hapo ndipo unakwenda kwenye hukumu ya mwisho ya ama kwenda mbinguni ama peponi.
P
Hujanielewa, ninafahamu kuwa kifo ni kazi ya Mungu, hoja yangu ni usemi wa "sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi" kwangu mimi huu usemi hauna maana kwa sababu.....

Kama wote wanaokufa ni kweli kuwa Mungu anawapenda basi pasingekuwa na mtu/kiumbe wa motoni.
 
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
Ulikuwa unasifia ili upate teule, alikustukia.
ulichojaribu kumuuzia hakununua

sasa sijui unataka kuhamishia goli wapi tena
 
H

Hujanielewa, ninafahamu kuwa kifo ni kazi ya Mungu, hoja yangu ni usemi wa "sisi tulikupenda lakini Mungu alikupenda zaidi" kwangu mimi huu usemi hauna maana kwa sababu.....

Kama wote wanaokufa ni kweli kuwa Mungu anawapenda basi pasingekuwa na mtu/kiumbe wa motoni.
Mungu ndiye muumba wa kila kitu, The Almighty God, The Creator, na ni Mungu ndiye huchukua uhai, yaani life, au roho, kile kilicholala kwenye sanduku, na kuzikwa kaburini ni mwili tuu, roho ambayo ni uhai, imeisha chukuliwa na Mungu. Hivyo kila kifo ni kazi ya Mungu. Baada ya roho kuacha mwili, hiyo roho ndiyo inayokwenda kwenye hukumu ya mwisho ya ama kuingia peponi au motoni.

Hivyo kila anayekufa, ameitwa na Mungu, regardless utaishia peponi au motoni!.
P
 
Wanabodi,
Hili ni bandiko la hoja ngumu zinazoitwa abstract, na zinahusu kitu kinachoutwa psychoanalysis, mtanisamehe, sikijui Kiswahili cha abstract wala psychoanalysis, lakini inahusu kumsikiliza mtu kauli na kuibaini kama inatoka moyoni au mdomoni. Ili uweze kuibaini kauli ni ya kutoka moyoni lazima na wewe uwe na jicho la roho, hivyo kwa uzoefu wangu humu jf, issues za psychoanalysis zinachangiwa na watu wachache kwasababu ni abstract.

Sisi binadamu tumeumbwa na uwezo tofauti wa uelewa kuanzia kwenye kusoma maandishi hadi kwenye kusikiliza na kuelewa maneno yanayotamkwa na mzungumzaji kama ni ya kweli, yanatoka mdomoni tuu au moyoni, kumaanisha one just speaks to say something or one's speaks and real mean what he/she says.

Kwenye kusoma maandishi utaalamu wa kubaini psychological state of a writer wakati anaandika, unaitwa graphology, zamani kwenye barua za kuomba kazi sehemu nyeti, waombaji walitakiwa kuandika barua kwa mkono, na wataalamu wa graphology, walizipitia barua hizo na kuamua wamuite nani kwenye interview, na siku ya interview hatua ya kwanza ni kuandika jina lako kwenye karatasi kujisajili, mwandiko usipofanana, unaishia hapo hapo mlangoni.

Wataalamu wa kubaini genuineness ya kauli, kama mtu akitamka maneno fulani yanatoka moyoni au mdomoni tuu inaitwa intuition, hii intuition kila mtu anayo, ila wanawake wanakuwa more sensitive kuliko wanaume, ndio maana ukiwatokea, unapigwa kwanza kalenda ili wajiridhishe, na kusema ukweli, kwa sisi wanaume wa off side tricks, kuna wake zetu wengi wanajua tuu, tunavyopiga mipira ya kona ila hawasemi.

Ukimtamani msichana mrembo kwa tamaa tuu za mwili ili kumtumia, yaani lust and infatuation, utamwambia "I love you" na mtu ukimpenda msichana huyo kwa upendo wa kweli, true and genuine love, pia utamwambia "I love you"

Kati ya wawili hao kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo, huyu mrembo anayependwa, how will she know, kama anapendwa kweli au anatamaniwa tuu atumike na kutoswa?.
Kitu kinachoitwa female intuitive kitamhulisha huyu mwanamke nani ni mkweli na nani ni muongo.

Utabaini kwa kusikiliza sauti kutoka ndani yako, yaani listening to yourself ili usikie, the voices from within, the voices from inside by listening to yourself. Hata hivyo dada zetu wengi hupotea maboya ukiingia kwa gia kubwa, kwa kutumia universal language, wengi hukubali kulainika na kuingia kingi kirahisi japo moyoni wanaisikia kabisa sauti ikiwaambia wanadanganywa!. Na kwa wale mangurubange wa danga chee, wao wanaangalia tuu usawa wa salio na sio mapenzi hivyo hapendwi mtu bali...

Kutamka kitu kinachotoka mdomoni na sio moyoni kinaitwa paying lip services, unapofika mwaka wa uchaguzi wanasiasa wengi wanazungumza mengi kutoka mdomoni tuu na sio moyoni. Wanazungumza kile ambacho wananchi watapenda kusikia hata ikibidi kutoa ahadi za uongo ili kupata kura.

Elimu ya kufanya uchambuzi wa kauli za viongozi kama wanasema kweli au just paying lip services, inaitwa psychoanalysis scrutiny ya baadhi ya kauli za viongozi wetu.

Mimi ni miongoni mwa wana jf wachache ambao from time to time, huwa nawaletea psychoanalysis scrutiny ya baadhi ya kauli za viongozi wetu, miongoni mwa issue niliyoifanyia scrutiny kubwa humu ni issue ya makinikia, nikisema zile tume mbili zilifanya lip services ya kitu bwana mkubwa alichotaka kusikia, tukaja na bili ya ajabu ya dola bilioni 190 za kutosha Noah ya kila Mtanzania, ukweli ulipobainika, deni hilo liliyeyuka, tukaambulia kile kile kushika uchumba cha dola milioni 300 kinacholipwa ndani ya miaka 7!.

Leo nimeisikia kauli hii

"Mimi ni mwenzenu hapa, sijabadilika ni yule yule "KaJoni". Kauli hii japo ni maneno machache simple, lakini yamebeba maana kubwa sana, hii kauli ni kutoka moyoni, ambayo inaonyesha humbleness, simplicity and down to earth ambayo ina maana kubwa sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Kufuatia baadhi ya makabila kuwa na mijitu yenye miili mikubwa, mijitu ya miraba minne, akitokea mtu mwenye umbo dogo, jina lale linatanguliwa na neno "ka", "kapasiko", hivyo zamani enzi za utotoni, udogoni, kule kijijini Chatto, kumbe rais Magufuli alikuwa anaitwa "KaJoni" kujulisha kuwa jina lake ni Joni, lakini kutokana na kuwa na umbo dogo akawa anaitwa KaJoni.

Mtu anaye kuwa kwa kuitwa kwa prefix ya neno ambalo ni deamining kuonyeshea udogo au kudogoshwa akiukwaa ukubwa hadi kuwa ni rais wa nchi....

Kwa muda mrefu humu mimi nimekuwa nikichambua baadhi ya kauli za viongozi, kwenye kauli nzuri nazipongeza na kaulu mbaya nazikosoa.

Kauli hii niliyousikia leo, ya "Mimi ni mwenzenu hapa, sijabadilika ni yule yule "KaJoni", ni kauli yenye maana kubwa sana ya self realization of going back to his roots. Japo rais Magufuli alikuwa akizungumza na Wana Chato, kuwaeleza kuwa japo kwa sasa mimi ni rais wa JMT, ni mtu mkubwa sana, mwenye nguvu nyingi na mamlaka na madaraka makubwa kama rais wa nchi na Amiri jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, lakini kwa nyinyi wana Chato, mimi ni mwenzenu yule yule KaJoni, huu urais wa JMT, vyeo, madaraka, mamlaka, ni vitu vya kuja tuu na kupita, lakini mimi ni yule yule KaJoni ka Chato.

Katika baadhi ya analysis zangu kwa kauli za viongozi, niliwahi kusema baadhi ya viongozi wana kauli za kujiinua mno, kauli hizo za kujiinua zilizoanzia juu, zikapelekea viongozi wa chini nao kujiinua wakiwemo ma RC hadi vi DC navyo vimejiinua hadi masikio kutaka kuzidi kichwa kwa kuongea kwa vitisho, ukali, kugomba na kusweka watu ndani ikiwemo kutukana watu hovyo hata waliowazidi umri!.

Kitendo cha rais Magufuli kuwaeleza wana Chato, yeye ni yule yule KaJoni, inatuma ujumbe mzito wa kujishusha na kujinyenyekeza, humbleness, being down to earth, na kuongea kwa humility ambazo ni changes for the better ambazo nimekuwa nikizisema kwa mtu huyu kuwa "This man is changing for the better" tunaweza kushangaa kuja kufikia 2025, rais Magufuli aka end up kuwa the best president this country had ever had.

Mwelekeo wa kauli kama hizi kwa mwaka wa uchaguzi, they are expected, kwasababu huu ni mwaka wa viongozi kuwarudia wananchi kujinyenyekeza kuombea kura, wanasiasa wenye kauli za maudhi na majigambo ya jeuri ya mamlaka, wanapojinyenyekeza kuomba kura, ndiko paying lip services kwenyewe ninako kuzungumzia, lakini kwa kauli hii ya rais Magufuli, mimi kwa kuisikiliza nimeibaini, kuwa ni bonafide genuine imetoka moyoni na sio lip services, hivyo haitegemewi mtu ambaye ni humbleness hii na down to earthiness hii akaja kujiinua tena na urais kumpanda tena kichwani!

Once KaJoni, always KaJoni!,
Hongera sana rais Magufuli, kujishusha kutoka Joni hadi KaJoni, utabarikiwa sana na Tanzania itabarikiwa.

Pasaka Njema
Pasakali.

Wanabodi,
hiki nilichokisema kwenye bandiko hili, kimethibitishwa na Msaidizi huyu wa JPM



This is the other side of JPM, ni wachache sana wanayoifahamu, I'm very proud to be among the few tuliomjua JPM on this side!.
RIP JPM
Paskali
 
Back
Top Bottom