Mimi ni mzalendo wa kudumu wa Tanzania naomba Raisi Samia ashughulike na hili

Mimi ni mzalendo wa kudumu wa Tanzania naomba Raisi Samia ashughulike na hili

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Salama wandugu,

Mimi mwanaccm na mzalendo wa kudumu wa taifa hili pia ni timu Magu Ila kwa yaliyotokea kwa wapinzani naomba radhi kwa niaba ya JPM.

Hili lilikuwa linachoma moyo sana,
naomba Raisi Samia ashughulikie hili kama anawajali wapinzani au nasema uwongo ndagu zangu.

images.jpg
 
Utawala wa Rais Samia Suluhu ni tofauti ndio maana unaona mambo yanaendelea kubadilika Democrasia imerejea Tanzania na unachotakiwa kujua serikali ya sasa ni ya wananchi na sio ya chama
 
Demokrasia na upigaji badala ya upinzani italisaidia nini taifa?
 
Utawala wa Rais Samia Suluhu ni tofauti ndio maana unaona mambo yanaendelea kubadilika Democrasia imerejea Tanzania na unachotakiwa kujua serikali ya sasa ni ya wananchi na sio ya chama
Wananchi hao kwiyooo?
 
Salama wandugu,

Mimi mwanaccm na mzalendo wa kudumu wa taifa hili pia ni timu Magu Ila kwa yaliyotokea kwa wapinzani naomba radhi kwa niaba ya JPM.

Hili lilikuwa linachoma moyo sana,
naomba Raisi Samia ashughulikie hili kama anawajali wapinzani au nasema uwongo ndagu zangu.

View attachment 2468083
Unamuombea msamaha Magu kwa kosa gani?kujenga fly over au kujenga sgr?
 
Salama wandugu,

Mimi mwanaccm na mzalendo wa kudumu wa taifa hili pia ni timu Magu Ila kwa yaliyotokea kwa wapinzani naomba radhi kwa niaba ya JPM.

Hili lilikuwa linachoma moyo sana,
naomba Raisi Samia ashughulikie hili kama anawajali wapinzani au nasema uwongo ndagu zangu.

View attachment 2468083
Askari ana tako sana
 
Utawala wa Rais Samia Suluhu ni tofauti ndio maana unaona mambo yanaendelea kubadilika Democrasia imerejea Tanzania na unachotakiwa kujua serikali ya sasa ni ya wananchi na sio ya chama
YEs demokrasia inarudi na ufisadi ulishatangulia
 
Back
Top Bottom