Huu muungano umekaa kinyonyaji zaidi. Sijui katiba mpya itaweza kutupatia mabadiliko kwenye huu muungano feki?Ukienda Zanzibar leo hii huwezi miliki ardhi. Lakini ukienda sehemu nyingine yoyote tz bara unaweza kumiliki ardhi
Sio kweli, wapo wabara wengi Zanzibar, wana tambulika kama wakaazi, na wanalima na kufanya kazi zao kama kawaidaMtanganyika kwa namna yoyote haruhusiwi kuwa Mzanzibari
Nikikumbuka neno Muungano huwa ninasema bora mwalimu alikufa mapema.Huu muungano umekaa kinyonyaji zaidi. Sijui katiba mpya itaweza kutupatia mabadiliko kwenye huu muungano feki?
Wao Tanzania ni nchi yao na vilevile Zanzibar ni nchi yao. Sisi Tanzania bara ndo nchi yetu kule kwao Zanzibar sisi kama wageni tu.
Wanakupa ukikaa miaka 3 mfululizo kwa mujibu wa katiba yao basi una qualified kuwa mzanzibar.Mimi ni mzaliwa na raia wa Tanzania bara nataka kuwa raia wa Zanzibar, je inawezekana? Nifuate taratibu zipi?
Kwani ukaazi ndo sawa na uraia?Sio kweli, wapo wabara wengi Zanzibar, wana tambulika kama wakaazi, na wanalima na kufanya kazi zao kama kawaida
Ikitokea nikawa Rais haki vile nawatema hao wanyonyajiZanzibar Wana sheria zao tofauti na bara,wazanziba ruhusa kumiliko ardh bara ila wabara si ruhusa mpk Kwa kibali maalum
Mwanzo nilikuwa naona kama Zanzibar wanatunyonya sana Tanganyika ila kwa miaka miwili sasa tangu nimekuja kuishi hapa kweli nimegundua wazanzibar wanamaisha magum sana.
Bidhaa zote wanazotegemea toka Tanganyika bei zake ziko juu sana kama mazao ya chakula
Chukulia mfano hizi bidhaa bei ya Tanganyika na Zanzibar
1. Nyama - Tang 8,000 & Zanz 12,000
2. Bia za kawaida - Tang 1,500 & Zanz 2,000
3. Sabuni ya unga - Tan 1,000 & Zanz 1,200
4. N.k
Kwa biadhaa zinazotoka ughaibun mfano za Electronic, Magar, nguo bei zake ziko chini kulinganisha na Tanganyika.
Sio kweli, wapo wabara wengi Zanzibar, wana tambulika kama wakaazi, na wanalima na kufanya kazi zao kama kawaida