Big dady 11
Senior Member
- May 21, 2023
- 109
- 128
📷📷
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakucheck . We can work some things pamoja .Habari zenu wakuu..
Embu tusaidiane kupeana connection.
Mm nipo dar mbagala..
Na ujuzi wa videographer, photographer graphics designer na content creater.
Na uzoefu wa Zaid ya miaka 5.
Km Kuna taasisi kampuni au ofisi ya video production inahitaji mtu wa ujuzi huo nipo hapa..
Program nnazotumia ni
Adobe premiere
Adobe Photoshop
Adobe illustrator
Adobe audition
Adobe Lightroom
Power point
Sina elimu ya vyeti Nina ujuzi tu 😭
Skumaliza chuo hivyo Sina cheti 😔..
Kwa mawasiliano zaid 0692477610.
Nikutumie Kaz nilizo fanya.
Pia na weza kuendesha social media accounts.
Na skuiz kampuni zinajitangaza sana kupitia social media accounts sasa kwa maana hiyo social media accounts ni sehem ya marketing hivyo inatakiwa mpate mtu wa content creating. Pia apge picha nzur na video Kali..
Na huyo mtu sasa ndo Mimi.
💪💪 Tutatoboa tu one dayOne day Yes
I appreciate Gentleman.Ni kwel kaka ila connection tatzo sisi wa mbgalaga huku mi nguo kupata connection ndo tunaona Bora tutafute kazi tu
💪💪 Tutatoboa tu one day
Umeniwahi, ushauri mdogo tu kwa mleta uzi, Dunia ya sasa inamilikiwa na mitandao, masuala ya graphics design, contents creation etc it's a big deal now, sijui hata kwanini unalilia kuajiliwa, kama una Simu nzuri itakayokuwezesha kupiga picha na kuchukua matukio, PC/computer yako ya kisasa ni mtaji tosha, anza kujiuliza unataka kuspecialize kwenye Nini? Contents zipi? Then anza mdogo mdogo kutengeneza maudhui na kuyachapisha mitandaoni (YouTube, Instagram, TikTok etc) kama contents zako ni nzuri utaonekana tu, kuwa mvumilivu, gigs zitakuja tu huko mbeleni.freelancing ndio habari ya mjini mkuu graphics designer hamilikiwi kizembe anakodiwa tu
Ni kwel kaka ila connection tatzo sisi wa mbgalaga huku mi nguo kupata connection ndo tunaona Bora tutafute kazi tu 😭freelancing ndio habari ya mjini mkuu graphics designer hamilikiwi kizembe anakodiwa tu
Roca fela nina shida na wewe mama nakupatajeYa rabbi aendelee kukufanyia wepesi katika kazi yako. Amiin
Ni content gan hasa uliwah kuiunda ikaenda viral? Au ndo zile za kukata mauno katikati ya barabara na mataulo huku mkisababisha foleni mijini?Habari zenu wakuu..
Embu tusaidiane kupeana connection.
Mm nipo dar mbagala.
Na ujuzi wa videographer, photographer graphics designer na content creater.
Na uzoefu wa Zaid ya miaka 5.
Km Kuna taasisi kampuni au ofisi ya video production inahitaji mtu wa ujuzi huo nipo hapa.
Program nnazotumia ni
Adobe premiere
Adobe Photoshop
Adobe illustrator
Adobe audition
Adobe Lightroom
Power point
Sina elimu ya vyeti Nina ujuzi tu 😭
Skumaliza chuo hivyo Sina cheti 😔..
Kwa mawasiliano zaid 0692477610.
Nikutumie Kaz nilizo fanya.
Pia na weza kuendesha social media accounts. Na skuiz kampuni zinajitangaza sana kupitia social media accounts sasa kwa maana hiyo social media accounts ni sehem ya marketing hivyo inatakiwa mpate mtu wa content creating. Pia apge picha nzur na video Kali.
Na huyo mtu sasa ndo Mimi.
Ni nadra sana kumpata mtanzania muwazi kiasi hiki, nimejifunza jambo kwakoSina elimu ya vyeti Nina ujuzi tu 😭
Skumaliza chuo hivyo Sina cheti 😔..
Kwa mawasiliano zaid 0692477610.
Nikutumie Kaz nilizo fanya.
Hapo kwnye mtaji mkuu.. ndo kiini chenyewe na ndo tunapokwama..Umeniwahi, ushauri mdogo tu kwa mleta uzi, Dunia ya sasa inamilikiwa na mitandao, masuala ya graphics design, contents creation etc it's a big deal now, sijui hata kwanini unalilia kuajiliwa, kama una Simu nzuri itakayokuwezesha kupiga picha na kuchukua matukio, PC/computer yako ya kisasa ni mtaji tosha, anza kujiuliza unataka kuspecialize kwenye Nini? Contents zipi? Then anza mdogo mdogo kutengeneza maudhui na kuyachapisha mitandaoni (YouTube, Instagram, TikTok etc) kama contents zako ni nzuri utaonekana tu, kuwa mvumilivu, gigs zitakuja tu huko mbeleni.
Sawa mkuu 🙏🙏🙏
Ukwel humuweka mtu salama.. 🙏🙏🙏Ni nadra sana kumpata mtanzania muwazi kiasi hiki, nimejifunza jambo kwako
Nimependa ulivyojieleza...Habari zenu wakuu..
Embu tusaidiane kupeana connection.
Mm nipo dar mbagala.
Na ujuzi wa videographer, photographer graphics designer na content creater.
Na uzoefu wa Zaid ya miaka 5.
Km Kuna taasisi kampuni au ofisi ya video production inahitaji mtu wa ujuzi huo nipo hapa.
Program nnazotumia ni
Adobe premiere
Adobe Photoshop
Adobe illustrator
Adobe audition
Adobe Lightroom
Power point
Sina elimu ya vyeti Nina ujuzi tu 😭
Skumaliza chuo hivyo Sina cheti 😔..
Kwa mawasiliano zaid 0692477610.
Nikutumie Kaz nilizo fanya.
Pia na weza kuendesha social media accounts. Na skuiz kampuni zinajitangaza sana kupitia social media accounts sasa kwa maana hiyo social media accounts ni sehem ya marketing hivyo inatakiwa mpate mtu wa content creating. Pia apge picha nzur na video Kali.
Na huyo mtu sasa ndo Mimi.
🤣 Kwenda viral inategemea na level ya mtu. Kwa mm mtoto wa mbagala mkitengeneza video clip ikawa na viewers 10k kwangu ni imeenda viral.. ila kwa level za mwingne 10k viewer's anaona badooo kabisaaaaaNi content gan hasa uliwah kuiunda ikaenda viral? Au ndo zile za kukata mauno katikati ya barabara na mataulo huku mkisababisha foleni mijini?
🙏🙏🙏 AmiinYa rabbi aendelee kukufanyia wepesi katika kazi yako. Amiin
🙏🙏 Shukran sana kwa kunitia moyo..Nimependa ulivyojieleza...
Kuna mitoto ina digrii za michongo haifikii nusu ya ujielezaji wako...
Mungu wa mbinguni atasikiliza hitaji lako na amini nakuambia utafanikiwa muda si mrefu.
Usikate tamaa endelea kuwa mwaminifu na mwenye imani.....
Nasikitika siko kwenye nafasi ya kukusaidia, maana hakika ningefanya fasta....