Uchaguzi 2020 Mimi ni team Magufuli ila nimemkubali Lissu ana uthubutu anafaa kuwa kiongozi!

Uchaguzi 2020 Mimi ni team Magufuli ila nimemkubali Lissu ana uthubutu anafaa kuwa kiongozi!

Unajua Kwanini lissu anapendwa na Mabeberu ?
Unajua kawaahidi nini?

Wacha niishie hapa
Lissu na Magufuli nani anapendwa na mabeberu?

Tumesaini nao mikataba mbele ya rais wetu mpendwa,naachaje kuamini ni kipenzi cha mabeberu.

Rais hadi akawaita mabeberu ni wanaume..wewe Bia yetu ni tetea tu.
 
Watanzania hawawezi kupigia kura msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Lissu na Magufuli nani anapendwa na mabeberu?

Tumesaini nao mikataba mbele ya rais wetu mpendwa,naachaje kuamini ni kipenzi cha mabeberu.

Rais hadi akawaita mabeberu ni wanaume..wewe Bia yetu ni tetea tu.
 
Lissu ni mchumia tumbo tu hana lolote

Muulizeni alipata wapi pesa za kujenga kigorofa chake pale tegeta
Swali la kipuuzi kabisa kuliko yote uliyopata kuhoji Mkuu. Nilidhani utauliza alipata wapi pesa za kununua mgodi wa Mchuchuma au kiwanda cha sukari Mtibwa... kighorofa ambacho hata madiwani wanajenga kwa posho zao??
 
Muulizeni vizuri alipata wapi pesa
Swali la kipuuzi kabisa kuliko yote uliyopata kuhoji Mkuu. Nilidhani utauliza alipata wapi pesa za kununua mgodi wa Mchuchuma au kiwanda cha sukari Mtibwa... kighorofa ambacho hata madiwani wanajenga kwa posho zao??
 
Niseme kwa dhati kabisa bila kumung'unya maneno mimi nakubali sana utendari wa dk magufuli amefanya mambo makubwa sana na ameonyesha njia.

Mfano nzuri tu ni mradi wa Rufiji hapa nampongeza kwa moyo wangu wote hichi alichokifanya ni kikubwa sana piga ua jpm kuujenga huu mradi kaonyesha element fulani ya uzalendo ambao viongozi wengi waliukwepa huu mradi kisa mabeberu.

Nije kwa huyu mtu anaitwa Tundu Lissu.

Huyu sio binadamu wa kawaida aisee!na zaidi ya mwamba huyu mtu ni kiongozi pekee wa upinzani ambaye naweza kumuamini kwa asilimia mia moja kwamba mikononi mwake tupo salama yaani lissu hata siwezi kumuelezea daaah.

Lissu ni zaidi ya tumjuavyo ni kusudio la mungu ndoto ya kuwa rais kwa lissu haitoshindwa kamwe haijalishi itapita nini haijalishi ni uchaguzi wa mwaka gani ila lissu one day atakuja kuwa rais tu he deserve to be presdent!

Ni kiongozi pekee ambaye sio mnafiki ana akili nyingi na anaaminika yaani namuangaliaga Lissu nakosa majibu nakosa cha kuandika!

Nishasema na narudia!katika binadamu wanasiasa mtu nayeweza kumuamini kwa asilimia zote ni Lissu.

Lissu sio mwanasiasa wa kuhama hama kama wengine ni mtu asiyetetereka ni mtu ambaye anaweza kuifanya nchi ikafika kwenye level za korea kusini na singapore huyu mtu ni zaidi ya mwamba huwa nikimwangalia lissu nakosa jibu jamaa yupo kwa mpango wa mungu tu sio wa kawaida mungu kampa kitu ndani yake.

Mungu ibariki Tanzania
Asante sana kwa kusema ukweli toka moyoni mwako. Bado una mda kura yako kwa Lissu haitoshi, hamasisha watu wengi zaidi ndugu, jamaa na marafiki wakampigie kura kwa wingi kesho na tukazilinde kweli.
 
Niseme kwa dhati kabisa bila kumung'unya maneno mimi nakubali sana utendari wa dk magufuli amefanya mambo makubwa sana na ameonyesha njia.

Mfano nzuri tu ni mradi wa Rufiji hapa nampongeza kwa moyo wangu wote hichi alichokifanya ni kikubwa sana piga ua jpm kuujenga huu mradi kaonyesha element fulani ya uzalendo ambao viongozi wengi waliukwepa huu mradi kisa mabeberu.

Nije kwa huyu mtu anaitwa Tundu Lissu.

Huyu sio binadamu wa kawaida aisee!na zaidi ya mwamba huyu mtu ni kiongozi pekee wa upinzani ambaye naweza kumuamini kwa asilimia mia moja kwamba mikononi mwake tupo salama yaani lissu hata siwezi kumuelezea daaah.

Lissu ni zaidi ya tumjuavyo ni kusudio la mungu ndoto ya kuwa rais kwa lissu haitoshindwa kamwe haijalishi itapita nini haijalishi ni uchaguzi wa mwaka gani ila lissu one day atakuja kuwa rais tu he deserve to be presdent!

Ni kiongozi pekee ambaye sio mnafiki ana akili nyingi na anaaminika yaani namuangaliaga Lissu nakosa majibu nakosa cha kuandika!

Nishasema na narudia!katika binadamu wanasiasa mtu nayeweza kumuamini kwa asilimia zote ni Lissu.

Lissu sio mwanasiasa wa kuhama hama kama wengine ni mtu asiyetetereka ni mtu ambaye anaweza kuifanya nchi ikafika kwenye level za korea kusini na singapore huyu mtu ni zaidi ya mwamba huwa nikimwangalia lissu nakosa jibu jamaa yupo kwa mpango wa mungu tu sio wa kawaida mungu kampa kitu ndani yake.

Mungu ibariki Tanzania
Umebaki tu sio mtu kawaida sione uliloeleza linalompa hizo sifa unazompa nadhani ww ni kampeni meneja wake tu sasa kwa taarifa yako huyo jamaa yako hana sifa hata moja ya kuwa rais wa nchi kama Tz, nchi haiongozwi kwa maneno maneno tu na majungu bali nchi huongozwa na mtu mwenye uthubutu na ubunifu kama JPM alivyo sasa ni Rais asiyejikweza kwa mabeberu ni mbunifu anajiamin anaona mbali anapenda taifa lake na watu wake hana urafiki na mafisadi hapendi watu wa kujikuza kwa wengine anaona watu wote wana haki sawa ya kunufaika na rasilimali za taifa lao nk
 
Niseme kwa dhati kabisa bila kumung'unya maneno mimi nakubali sana utendari wa dk magufuli amefanya mambo makubwa sana na ameonyesha njia.

Mfano nzuri tu ni mradi wa Rufiji hapa nampongeza kwa moyo wangu wote hichi alichokifanya ni kikubwa sana piga ua jpm kuujenga huu mradi kaonyesha element fulani ya uzalendo ambao viongozi wengi waliukwepa huu mradi kisa mabeberu.

Nije kwa huyu mtu anaitwa Tundu Lissu.

Huyu sio binadamu wa kawaida aisee!na zaidi ya mwamba huyu mtu ni kiongozi pekee wa upinzani ambaye naweza kumuamini kwa asilimia mia moja kwamba mikononi mwake tupo salama yaani lissu hata siwezi kumuelezea daaah.

Lissu ni zaidi ya tumjuavyo ni kusudio la mungu ndoto ya kuwa rais kwa lissu haitoshindwa kamwe haijalishi itapita nini haijalishi ni uchaguzi wa mwaka gani ila lissu one day atakuja kuwa rais tu he deserve to be presdent!

Ni kiongozi pekee ambaye sio mnafiki ana akili nyingi na anaaminika yaani namuangaliaga Lissu nakosa majibu nakosa cha kuandika!

Nishasema na narudia!katika binadamu wanasiasa mtu nayeweza kumuamini kwa asilimia zote ni Lissu.

Lissu sio mwanasiasa wa kuhama hama kama wengine ni mtu asiyetetereka ni mtu ambaye anaweza kuifanya nchi ikafika kwenye level za korea kusini na singapore huyu mtu ni zaidi ya mwamba huwa nikimwangalia lissu nakosa jibu jamaa yupo kwa mpango wa mungu tu sio wa kawaida mungu kampa kitu ndani yake.

Mungu ibariki Tanzania
Tutolee mfano wa jambo moja alilothubutu.
 
Niseme kwa dhati kabisa bila kumung'unya maneno mimi nakubali sana utendari wa dk magufuli amefanya mambo makubwa sana na ameonyesha njia.

Mfano nzuri tu ni mradi wa Rufiji hapa nampongeza kwa moyo wangu wote hichi alichokifanya ni kikubwa sana piga ua jpm kuujenga huu mradi kaonyesha element fulani ya uzalendo ambao viongozi wengi waliukwepa huu mradi kisa mabeberu.

Nije kwa huyu mtu anaitwa Tundu Lissu.

Huyu sio binadamu wa kawaida aisee!na zaidi ya mwamba huyu mtu ni kiongozi pekee wa upinzani ambaye naweza kumuamini kwa asilimia mia moja kwamba mikononi mwake tupo salama yaani lissu hata siwezi kumuelezea daaah.

Lissu ni zaidi ya tumjuavyo ni kusudio la mungu ndoto ya kuwa rais kwa lissu haitoshindwa kamwe haijalishi itapita nini haijalishi ni uchaguzi wa mwaka gani ila lissu one day atakuja kuwa rais tu he deserve to be presdent!

Ni kiongozi pekee ambaye sio mnafiki ana akili nyingi na anaaminika yaani namuangaliaga Lissu nakosa majibu nakosa cha kuandika!

Nishasema na narudia!katika binadamu wanasiasa mtu nayeweza kumuamini kwa asilimia zote ni Lissu.

Lissu sio mwanasiasa wa kuhama hama kama wengine ni mtu asiyetetereka ni mtu ambaye anaweza kuifanya nchi ikafika kwenye level za korea kusini na singapore huyu mtu ni zaidi ya mwamba huwa nikimwangalia lissu nakosa jibu jamaa yupo kwa mpango wa mungu tu sio wa kawaida mungu kampa kitu ndani yake.

Mungu ibariki Tanzania
Utampa humpi??
 
Niseme kwa dhati kabisa bila kumung'unya maneno mimi nakubali sana utendari wa dk magufuli amefanya mambo makubwa sana na ameonyesha njia.

Mfano nzuri tu ni mradi wa Rufiji hapa nampongeza kwa moyo wangu wote hichi alichokifanya ni kikubwa sana piga ua jpm kuujenga huu mradi kaonyesha element fulani ya uzalendo ambao viongozi wengi waliukwepa huu mradi kisa mabeberu.

Nije kwa huyu mtu anaitwa Tundu Lissu.

Huyu sio binadamu wa kawaida aisee!na zaidi ya mwamba huyu mtu ni kiongozi pekee wa upinzani ambaye naweza kumuamini kwa asilimia mia moja kwamba mikononi mwake tupo salama yaani lissu hata siwezi kumuelezea daaah.

Lissu ni zaidi ya tumjuavyo ni kusudio la mungu ndoto ya kuwa rais kwa lissu haitoshindwa kamwe haijalishi itapita nini haijalishi ni uchaguzi wa mwaka gani ila lissu one day atakuja kuwa rais tu he deserve to be presdent!

Ni kiongozi pekee ambaye sio mnafiki ana akili nyingi na anaaminika yaani namuangaliaga Lissu nakosa majibu nakosa cha kuandika!

Nishasema na narudia!katika binadamu wanasiasa mtu nayeweza kumuamini kwa asilimia zote ni Lissu.

Lissu sio mwanasiasa wa kuhama hama kama wengine ni mtu asiyetetereka ni mtu ambaye anaweza kuifanya nchi ikafika kwenye level za korea kusini na singapore huyu mtu ni zaidi ya mwamba huwa nikimwangalia lissu nakosa jibu jamaa yupo kwa mpango wa mungu tu sio wa kawaida mungu kampa kitu ndani yake.

Mungu ibariki Tanzania
Hata akihama anaweza hama kwa sababu za msingi,hajawahi kuwa mnafiki na ni jasiri kweli kweli Kama Mungu kamuandikia lazima atakuwa maana ana aminika na ni mtetezi wa haki kwa vitendo tofauti na wanasiasa matumbo na wasiojali wengine,wengi wa mijitu ya dizaini hii imejaa ccm simply bcoz hawana akili ya kujenga hoja
 
Hata Mimi namkubali Sana , Ila Kuna vitu vichache vimefanya nimkubali Lissu
 
Tundu Lisuu kibara...dalali wa mabeberu na sera zake za kitapeli,alafu wewe sio Team Maghufuli kawazunguke wajinga na akili yako ndogo
 
Watanzania hawawezi kupigia kura msaliti wa Nchi kutoka ubeligiji
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Hivi Joti na Anti Zuu wanahamasisha ushoga wakiwa makada wa chama gani? Nani ulisikia anawakemea?
 
Lissu ni mchumia tumbo tu hana lolote

Muulizeni alipata wapi pesa za kujenga kigorofa chake pale tegeta
Lisu ni Lawyer maarufu. Hivi unajua alikuwa analipwa Sh ngapi kwa case? Unajua retainer fee yake kwa makampuni na watu binafsi? Unajua pia amekuwa Mbunge? Mhuri wake akikugongea tu karatasi moja ni Sh ngapi. Kakojoe ulale. Tena unye kabisa umalize na kuvimbiwa huko Maharaja ya juzi.
Tumia akili kufikiri siyo makalio.
 
Unadhani Ni mbangaizaji Kama siye? Ni mwanasheria mashuhuri, mkewe pia kweli watashindwa Jenga nyumba waipendayo?
You said it well. Au kwa kuwa wako humble hawajioneshi? Mwanbie kwa Mkewe ni mwanasheria nguli pia but down to earth. Lisu pesa anayolipwa tu kwa mwexmzi kutoka makampuni as reteiner fee ni millions of money. Yaani hao buku 2 Lumumba ni shida sana Mkuu.
 
Back
Top Bottom