Uchaguzi 2020 Mimi ni team Magufuli ila nimemkubali Lissu ana uthubutu anafaa kuwa kiongozi!

Uchaguzi 2020 Mimi ni team Magufuli ila nimemkubali Lissu ana uthubutu anafaa kuwa kiongozi!

Unamzungumzia huyu lisu ambaye anataka kuwakabidhi wazungu madini yetu.
Porojo. Lisu ndiyo alitetea mikataba mibovu akaiweka hadharani? Akaikataa sheria mpya ya madini kwa nguvu zote ambayo ilipelekwa bungeni kwa dharura. Akasema haifai na bado ikapitishwa na mibunge ya CCM kwa kishindo. Kwanza ufisadi wa madini aliougundua huyo Mkabila na Mkanda kwenye madini alitumia nondo za Lissu. Acha bangi wewe.
 
Kwamba upinzani ni dhaifu halafu Meko kamuagiza mkuu wa TCRA azime na kudhibiti mitandao ya kijamii ili kukinusulu ccm 😀😀
MATAGA mnahangaika nn na wapinzani dhaifu huku mkiandaa vikosi vya usalama kudhibiti wenye inchi?

Mko na funza ktk mbongo zenu wallah

Subiri muunywe mvinyo wa upinzani mdhaifu mtapata mkitakacho
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi
 
Unadhani Ni mbangaizaji Kama siye? Ni mwanasheria mashuhuri, mkewe pia kweli watashindwa Jenga nyumba waipendayo?
Akili yake imekomea alipooneshwa msameheni bure tu.
Amejaa husda, chuki na wivu wa...
 
Unajua Kwanini lissu anapendwa na Mabeberu ?
Unajua kawaahidi nini?

Wacha niishie hapa
Ameahidi kuweka rehani madini yetu hatuwezi kumchagua huyu...tutaenda na Mzalendo wetu namba moja Magufuli.

Congratulations in advance President Magufuli

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi
CCM haijawahi kushinda zaidi ya kubebwa na Police ,Tume ya uchaguzi na msajili wa vyama, ila safari hii mtajua hamjui
 
Unajua Kwanini lissu anapendwa na Mabeberu ?
Unajua kawaahidi nini?

Wacha niishie hapa
Acha uboya weee mama. Ni Serikali ya CCM iliyowazika hai watanzania kule Bulyanhulu ili iwapore maeneo yao na Ni Tundu Lissu a.k.a The Giant a.k.a The Beast aliyepiga kelele mpaka dunia ikasikia. Ni yeye aliyekuwa akiteswa rumande na Serikali dhalimu inayoua watu wake kwa ajili ya maslahi ya mabeberu.
Kwenye Delta ya Rufiji, ni Nani mwingine aliyepiga makelele mpaka mradi dhalimu wa mabwawa ya samaki aina ya kamba ambayo yangeathiri Sana mazingira na watu wa Rufiji ambao CCM ilikuwa inataka kuwapa wazungu?
Tundu Lissu ni shujaa wa Taifa, kafanya maisha ya watu yawe na furaha huku yeye akisota mahabussu.
Kafanya kesi ngapi za utetezi bure?
MAGUFULI hamfikii hata robo Tundu Lissu
 
Back
Top Bottom