Mimi ni Web developer na Mobile dev nina wazo njoo tu discuss

Miti7 22/11
Ukipata muda naomba insight yako hapa.
Thanks in advance.
 


Ni jambo jema na hongera, ila ungesema competence yako au wapi unauzika zaidi, umeeleza kidogo sana kushawishi a potential, ila naamini watu wazuri kwenye hayo unazungumza hufanikiwa sana
 
Na mimi mwenyewe mtamu kwenye hizi mambo moja ya programu zangu katika nyingi
 

Attachments

  • EventTrackingSystem3.jpg
    19.1 KB · Views: 12
  • EventTrackingSystem2.jpg
    129.9 KB · Views: 12
  • EventTrackingSystem.jpg
    103.9 KB · Views: 12
Ni jambo jema na hongera, ila ungesema competence yako au wapi unauzika zaidi, umeeleza kidogo sana kushawishi a potential, ila naamini watu wazuri kwenye hayo unazungumza hufanikiwa sana
Nipo compitent na web development and Android ila IOS ndo nasoma hapa react native
 
Mie nimejikita ktk Cyber Security pia nina knowledge kiasi ya kuchapa codes.

Sasa.

Kuna idea moja ya kuunda spyware app ambayo itatumika kufanya udukuzi na pia app yenye persistence kubwa. Ambayo pia itafanya kazi in stealth mode.

Namalizia kuandaa pepa (Manual) kama utakuw interested tutaona nini cha kufanya.
 
hii haina mshiko kaka
 
Kwahiyo boss umeshindwa hata kutofautisha mySql na no Sql database.
Idea itaeleweka kweli?!!!
Huyu ni wale IT wa youtube baada ya siku 2 za kuangalia video anajiita na yeye ni IT hapa hamna kitu. Aliambiwa aleta kazi alizo fanya akakimbilia hana github a/c sasa IT gani hatumii github zaidi ya mtu tia maji tia maji
Nilipo soma tu hii comment nikajua jinga lingine limeingia mjini. Kama unashidwa kutumia akili yako kutoa maelezeo development ndo utaweza
 
Hakuna binadamu mwenye hobby 1 tu

Ungekuwa na hobby nyingine ungeutumia ujuzi wako wa web design kusupplement hobby yako ya pili

Nitajie tarehe na mwezi uliozaliwa nikuambie kazi nyingine ukifanya utatoboa tofauti na website development
02/5
 
soma kwa kuelewa
 
wewe ni mpumbavu saana na unaleta ujuaji kama uko tayari kwa battle nicheki 0746815931 uone na sio unaropoka ropoka tuu hapa nitafutee
 
Hongera sana. Naomba ni bookmark huu uzi wako for future reference.. napenda kujifunza na kuyajua mengi

Namba ndio hizo hapo juu
 
wewe ni mpumbavu saana na unaleta ujuaji kama uko tayari kwa battle nicheki 0746815931 uone na sio unaropoka ropoka tuu hapa nitafutee

Acha siasa leta code hapa, IT haeaongei kea maneno kazi zao ndio zinaongea. Mdogo wangu wa wisho anakampuni ya IT toka siku ya kwanza ananza chuo alikua yatari ana account github wewe 5ys huna hata link ya kukutambulisha alfu unajiita IT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…