Mimi nikimwangalia mtu miguuni jinsi alivyovaa viatu na kichwani jinsi alivyo napata jibu moja kwa moja naongea na mtu wa namna gani

Oooh umenikumbusha dada mmoja miaka ile 2000 mwanzoni. Kaenda mlimami city kaingia duka wanauza jewelry akawa anashangaa na kuuliza uliza. Mara wale wadada wakawa wanamjibu kwa dharau na hasira huku wakiongea wakimkata jicho kali kuwa weee bibie msumbufu bwana.
Alivyona dharau zimezidi akaagiza cheni, hereni, kikuku, kazilipa huyo akatoka zake.
Wale wadada wauzaji wamebaki wametoa macho.
Usipime mtu kwa muonekano.
 
Mlimani city mwanzoni mwa miaka ya 2000???
Mlimani city ilianza utawala wa JK
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…