Mimi nikimwangalia mtu miguuni jinsi alivyovaa viatu na kichwani jinsi alivyo napata jibu moja kwa moja naongea na mtu wa namna gani

Mimi nikimwangalia mtu miguuni jinsi alivyovaa viatu na kichwani jinsi alivyo napata jibu moja kwa moja naongea na mtu wa namna gani

Hata Mimi nampima mtu kwa
1. Viatu. Kama vimechoka au fasheni nzuri
2. Usafi WA kucha
3. Mkanda
Kwa wanawake
1. Wingi WA mishipa ya shingo na mikononi
2. Kama amesuka ni msuko bei ya kati na kiasi Cha kupauka
3. Saa aliyovaa
4. Anavyopaniki

Nk
 
Hata Mimi nampima mtu kwa
1. Viatu. Kama vimechoka au fasheni nzuri
2. Usafi WA kucha
3. Mkanda
Kwa wanawake
1. Wingi WA mishipa ya shingo na mikononi
2. Kama amesuka ni msuko bei ya kati na kiasi Cha kupauka
3. Saa aliyovaa
4. Anavyopaniki

Nk
Jinsia yako tafadhali? kama ni Me unamuangaliaje mwanaume mwenzio kama kavaa mkanda,
 
Watu wanakuponda bure TU, ila ukweli upo hapo.
1.mfano Mimi nikutane na mdada ashavuka miaka 25 kavaa hizi yebo kubwaaaa, sijui mkiatu wa manyoya, yani mguuni kiatu kilo mbili nzima, hata kama namfahamu na elimu yake naijua, huwa namuona sumbi TU.
2.wewe kichwani umesuka rainbow, wanja kama paka chongo, una kipin puani, kipini cha ulimi bado pembeni ya jicho. Hereni matundu 5, shingoni una tattoo. Hapana kwa kweli. Kwangu utaingia tu kundi la mashangingi tena wale low.

Amini unacho kiamini.
 
Watu wanakuponda bure TU, ila ukweli upo hapo.
1.mfano Mimi nikutane na mdada ashavuka miaka 25 kavaa hizi yebo kubwaaaa, sijui mkiatu wa manyoya, yani mguuni kiatu kilo mbili nzima, hata kama namfahamu na elimu yake naijua, huwa namuona sumbi TU.
2.wewe kichwani umesuka rainbow, wanja kama paka chongo, una kipin puani, kipini cha ulimi bado pembeni ya jicho. Hereni matundu 5, shingoni una tattoo. Hapana kwa kweli. Kwangu utaingia tu kundi la mashangingi tena wale low.

Amini unacho kiamini.
Kimtokacho mtu ndicho kilicho moyoni (kichwani) mwake.
Viatu na kichwani inatosha kumfanyia mtu tathmini kwenye usaili
 
Kujua mazingira ya mtu anayoishi.

Kujua uwezo wa mtu kichwani.
Kujua tabia ya mtu.

Natazama hair style na shoe style ya mtu baaasi.

Wewe unatazama nini?
View attachment 3135508
jiandae kukutana na Saint Satan alie vaa ngozi ya kondoo ili uingie vizuri kwenye 18 zake, akupige tukio vizuri sana ili hatimae iwe fundisho kwa wengine wenye tabia na mipango ya kua na style ya utambuzi ya aina hiyo..

hata hivyo ni vizuri kutambua kwamba, nyakati hizi uovu umejibanza na kujificha vizuri sana ndani ya wema. Ni muhimu kuchukua tahadhari 🐒
 
Kujua mazingira ya mtu anayoishi.

Kujua uwezo wa mtu kichwani.
Kujua tabia ya mtu.

Natazama hair style na shoe style ya mtu baaasi.

Wewe unatazama nini?
View attachment 3135508
View attachment 3135515
Vipi ukikutana mzee wa kufundisha forex kama huyo ambaye kakosa fedha ya kununua sox unapata wazo gani mkuu?
1729921231291.png
 
Na kuna wengine unaweza kuwatathmini vibaya au vizuri ila ukipata kumjua unagundua yupo tofauti na jinsi ulivyokuwa unamfikiria!
 
wavaa viatu Vinyoya ,kipini puani huyo Double pivot(laini zote used),miguu na vichwa vya kuku, supu za mia mia,Vigodoro, kumwaga radhi , ukioa huyo jiandae na kulala sero zaidi ya kulala nyumbani kwako😅😅😅
 
Back
Top Bottom