Statistics
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 3,666
- 7,788
Hata Mimi nampima mtu kwa
1. Viatu. Kama vimechoka au fasheni nzuri
2. Usafi WA kucha
3. Mkanda
Kwa wanawake
1. Wingi WA mishipa ya shingo na mikononi
2. Kama amesuka ni msuko bei ya kati na kiasi Cha kupauka
3. Saa aliyovaa
4. Anavyopaniki
Nk
1. Viatu. Kama vimechoka au fasheni nzuri
2. Usafi WA kucha
3. Mkanda
Kwa wanawake
1. Wingi WA mishipa ya shingo na mikononi
2. Kama amesuka ni msuko bei ya kati na kiasi Cha kupauka
3. Saa aliyovaa
4. Anavyopaniki
Nk