Mimi nilidhani kwenye Upuuzi ni kule Simba SC tu kumbe hata huku kwa Yanga SC ndiyo kuna Upuuzi zaidi?


Ukiona hivyo ujue wewe ndiye mpuuzi. Haiwezikani kuwa watu wote ni wapuuzi ila wewe tu ndiye mzima.
 
Umesahau tu mkuu, hukumbuki mwaka jana Nabi aliongoza benchi la Yanga huko huko CAF

Au waseme imexpaya labda
 
Sio kweli hiyo taarifa ilitoka 10/9/2021
Na mechi ya yanga ilichezwa 12/9/2021
Ko acha kulazimisha uongo uwe ukweli
Kwani agizo na utekelezaji vinaenda pamoja kwa mfano serikali itoe agizo leo tar 10 September iseme kuanzia 28 September marufuku boda boda kuingia mjini hapo utasema agizo limetoka lini halafu mbona hata Gomez mechi za awali alikaa ila alikuja kuzuia baadae hapo nimejitahidi kukuelezea maana katika kitu ambacho sifanyi ni kubishana na mashabiki wa yanga maana wengi ni vilaza wanamsikiliza yule nguruwe pori aliyefurumishiwa virago na babra.
 
Simba ilimuweka Hitimana baada la Gomes kukosa vigezo licha kuisimamia Simba Sc kwenye michezo kadhaa ya CAF (ukiwemo ule uliomfukizisha kazi Nabi pale Merreikh), kwahiyo kusimama msimu uliopita sio sababu genuine maana hata Gomes aliwahi kusimama.
Mkuu mashabiki wa yanga ni vilaza watakuumiza kichwa tu nimemwambia kwa mfano serikali imetoa agizo 1 September kwamba kuanzia 30 September wakulima hawaruhusiwi kupeleka mazao yao nje ya nchi sasa swali hapo ni kwamba wao utopolo wanachukua hyo 1 September ndo utekelezaji hao vilaza
 
Dah! Yaani na wewe umebebwa na mkumbo wa Bin Kazumari..!

Kazumari alitafuta kubalance story na kufifisha mjadala uliokuwepo na ofcoz kwa kiasi flani amefanikiwa

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Hivi hizi taarifa za Nabi kukosa approval ya CAF mmelishwa na kichaa gani uyo?
 
Wewe ndio kilaza. Huo mfan wako ulioweka tunaomba uje na screen shot inayoonesha CAF wameandika kuwa kwanzia lini hiyo sheria inaanza kufanya kazi. Ulikuja na hoja mwanzoni kuwa eti sheria imekuja baada ya Yanga kuwa wameshatolewa na rivers saivi unaamisha magoli. Halafu si ndio wewe uliyesema Nabi hakukaa kwenye benchi katika mechi za yanga dhidi ya rivers saivi umekuja na ngonjera zingine.
 
Ulipotaja tu serikali nimeona unafaa kupuuzwa maana huna unalolijua wataka kulazimisha uongo kuwa ukweli.
 
Huyu jamaa unayebishana nae hajui lolote ni wakupuuzwa tu
 
Nyie wapumbavu kweli hivi propaganda zinawasaidia nn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…