Mimi nilidhani kwenye Upuuzi ni kule Simba SC tu kumbe hata huku kwa Yanga SC ndiyo kuna Upuuzi zaidi?

Mimi nilidhani kwenye Upuuzi ni kule Simba SC tu kumbe hata huku kwa Yanga SC ndiyo kuna Upuuzi zaidi?

Nakuonaga una akili kumbe saa nyingine ni mkurupukaji kiasi hiki? Unataka kusema Nabi hakuwepo kwenye benchi ya Yanga dhidi rivers united?
Naona wewe ndo hukunielewa, nimemwambia aliyeleta Taarifa kwamba Nabi hakuwa benchi siku hiyo yeye ndiye chanzo cha Taarifa yake mwenyewe.
 
Rasmi Kocha JUMA MGUNDA ameidhinishwa na CAF kwahiyo atakaa kwenye benchi la Simba SC hapo kesho. Wakati huo huo Kocha NASRIDINNE MOHAMED NABI amezuiwa na CAF kukaa kwenye benchi kwa kukosa vigezo hivyo KAZE CEDRIC ataongoza benchi la Yanga SC.

Nimeitoa katika Ukurasa wa Twitter wa Mchambuzi Mahiri wa Michezo kwa sasa Tanzania nzima, Mwerevu na asiye Mnafiki Jemedari Said Kazumari.

Sasa ngoja nibakie tu Kushangilia Liverpool FC yangu iliyo kwa Wazungu Watu wenye Uweledi na Wanaojitambua.

Haya Juzi Watu wa Yanga SC hasa kupitia Mfungwa na Mdaiwa Wenu Haji Manara mliwacheka na Kuwadhihaki sana Simba SC kuhusu Sakata la Kocha Juma Mgunda huku Mtangazaji Mnafiki na mwana Yanga SC Maulid Kitenge nae akilishadadia mpaka pale TFF walipolitolea Ufafanuzi na likaisha je, na wana Simba SC nao kuanzia leo nao Walipize Kisasi kwa Kuwacheka, Kuwadhihaki na Kuwadharau?

Mnamuita Kocha Wenu Mkuu Nasredinne Nabi kuwa ni Profesa sasa Profesa gani anakosa Vigezo vya Kusimama katika Mechi Kubwa bara la Afrika tena hizi za Klabu Bingwa?

Simba na Yanga zote hamna Kitu!!!!
Baada ya kuwaona hao makocha wapo kwenye benchi nadhan ni sahihi uende kujichamba ndio uje apa
 
Nakuonaga una akili kumbe saa nyingine ni mkurupukaji kiasi hiki? Unataka kusema Nabi hakuwepo kwenye benchi ya Yanga dhidi rivers united?
Kabla ya kuja Yanga Nabi alisimama dhidi ya simba akiwa al Hilal ya Sudan katika sare ya bao 0-0. Vyeti walimpatia wao?
 
Rest in peace MINOCYCLINE!

Sisi tulikupenda sana! Ila kwa bahati mbaya, yule mkuu wa mapopoma wote duniani, alikupenda zaidi.
Kumbe Siku hizi Mfu bado anaweza akawa anaendelea Kuchangia Mada hapa JamiiForums?

Kwa kitendo cha kuombea Kifo changu Majibu yake sasa ni kwamba Wewe ndiyo utaanza huko Kufa kabla yangu na sijawahi kutabiri Jambo halafu kwa 99,99999% lisitokee au lisitimie.
 
Kumbe Siku hizi Mfu bado anaweza akawa anaendelea Kuchangia Mada hapa JamiiForums?

Kwa kitendo cha kuombea Kifo changu Majibu yake sasa ni kwamba Wewe ndiyo utaanza huko Kufa kabla yangu na sijawahi kutabiri Jambo halafu kwa 99,99999% lisitokee au lisitimie.
Rest in peace means pumzika kwa amani. Hilo la mfu umelileta wewe. Mimi kama mjumbe mwenzako humu jukwaani, nilikutakia mapumziko mema tu ya weekend! Ila wewe umetafsiri tofauti kabisa.

Halafu usiogope kufa! Ni suala tu la muda.
 
Rest in peace means pumzika kwa amani. Hilo la mfu umelileta wewe. Mimi kama mjumbe mwenzako humu jukwaani, nilikutakia mapumziko mema tu ya weekend! Ila wewe umetafsiri tofauti kabisa.

Halafu usiogope kufa! Ni suala tu la muda.
Kweli Kufa ni Suala la muda tu ila Wewe hutokufa utabaki Kuilinda hii Dunia Milele si ndiyo?

Pumbavu.
 
Kweli Kufa ni Suala la muda tu ila Wewe hutokufa utabaki Kuilinda hii Dunia Milele si ndiyo?

Pumbavu.
Might fighter alienda wapi mkuu[emoji23][emoji23]
1661791911648.jpg
 
Back
Top Bottom