Mimi nilidhani natoa huduma ya kwanza kumbe namalizia kuua

Mimi nilidhani natoa huduma ya kwanza kumbe namalizia kuua

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
25,190
Reaction score
27,434
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele) na alikuwa hajavaa helment alianguka.

Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi nilienda kumsaidia, sasa kwa kuwa alivaa kinyume yaani badala avae kufunika mgongo yeye alivaa kufunika tumbo na kifua alilalia mgongo.

Mimi nilipofika karibu yake nikaona sura ndio imegeukia mgongoni anahitaji shingo igeuzwe nikakanyaga kifuani (hapa nilidhani ndio nakanyaga mgongo sasa)nikageuza shingo,nikaona anapiga kelele huku anashika mikono yangu niache mi nikaongeza nguvu nikavunja kabisa .

Nilipoona ametulia mi nikamwacha akusanye nguvu nikaondoka zangu. Baadae nakuja kukamatwa na polisi kwa mauaji,je?hapo kwani nilikuwa na kosa gani, ingekuwa wewe ungefanyaje.
 
Hahahaa kwani hata miguu na mikono vilikuwa vimegeuka?
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele)na alikuwa hajavaa helment alianguka.

Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi nilienda kumsaidia,sasa kwa kuwa alivaa kinyume yaani badala avae kufunika mgongo yeye alivaa kufunika tumbo na kifua alilalia mgongo.

Mimi nilipofika karibu yake nikaona sura ndio imegeukia mgongoni anahitaji shingo igeuzwe nikakanyaga kifuani (hapa nilidhani ndio nakanyaga mgongo sasa)nikageuza shingo,nikaona anapiga kelele huku anashika mikono yangu niache mi nikaongeza nguvu nikavunja kabisa .

Nilipoona ametulia mi nikamwacha akusanye nguvu nikaondoka zangu.
Baadae nakauja kukamatwa na polisi kwa mauaji,je?hapo kwani nilikuwa na kosa gani ,ingekuwa wewe ungefanyaje.

Jr[emoji769]
 
Mkuuu jamaa alikutafunia demu wako nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Katika hali ya kushangaza na ya kushtua dereva bodaboda aliekuwa kavaa koti kinyume (nyuma mbele)na alikuwa hajavaa helment alianguka.

Wakati anagaragara chini kuhitaji huduma ya kwanza mimi nilienda kumsaidia,sasa kwa kuwa alivaa kinyume yaani badala avae kufunika mgongo yeye alivaa kufunika tumbo na kifua alilalia mgongo.

Mimi nilipofika karibu yake nikaona sura ndio imegeukia mgongoni anahitaji shingo igeuzwe nikakanyaga kifuani (hapa nilidhani ndio nakanyaga mgongo sasa)nikageuza shingo,nikaona anapiga kelele huku anashika mikono yangu niache mi nikaongeza nguvu nikavunja kabisa .

Nilipoona ametulia mi nikamwacha akusanye nguvu nikaondoka zangu.
Baadae nakauja kukamatwa na polisi kwa mauaji,je?hapo kwani nilikuwa na kosa gani ,ingekuwa wewe ungefanyaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa kwani hata miguu na mikono vilikuwa vimegeuka?

Jr[emoji769]
Inawezekana kelele za majeruhi zilianza alipokanyaga kifua, seriously unamkanyaga mtu kifua ili umgeuze shingo? Naimagine nguvu ya mguu na mikono jinsi ilivyomkatisha uhai kabla hata shingo haijageuka😂😂😂
 
Yaani sikujua kabisa[emoji23]
Inawezekana kelele za majeruhi zilianza alipokanyaga kifua, seriously unamkanyaga mtu kifua ili umgeuze shingo? Naimagine nguvu ya mguu na mikono jinsi ilivyomkatisha uhai kabla hata shingo haijageuka[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom