Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Suala sio kwamba ulifanya au la, suali muhimu ni kwamba sasa uko wapi?Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Sasa bado nipo TanzaniaSuala sio kwamba ulifanya au la, suali muhimu ni kwamba sasa uko wapi?
Unafanya nini?Sasa bado nipo Tanzania
Nafanya mambo yanguUnafanya nini?
Kwamba wanaamini kuwahi kumaliza shule ndyo umwamba?Ngoja waje wale jamaa ambao kitu pekee wako proud nacho ni kuwahi kumaliza shule kabla yako.
Utasikia kumbe tunabishana na watoto humu.
Naendelea kukariri majina ya watoto wangu wa JF ,ili siku nikitoboa tu nawatafuta tukale Raha kidimbwi pale .View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Shule hiyo uliomaliza 2013 imekusaidia je ?Nafanya mambo yangu
Sijambo mzee, hakikisha siku ukitoboa hautusahau wanao wa Jf tufarijike pamoja.Naendelea kukariri majina ya watoto wangu wa JF ,ili siku nikitoboa tu nawatafuta tukale Raha kidimbwi pale .
Vipi mwanangu hujambo lakini?
View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Imenisaidia kupata kigezo cha kuendelea na ngazi ya elimu iliyo fuata, yaani sekondariShule hiyo uliomaliza 2013 imekusaidia je ?
Sawa, lakini huo ndyo ulikuwa wakati wetu na hatukuwa na kisingizio bali kwenda shule na kusoma.MMESOMA SHULE KIPINDI ELIMU IMEKUFA.
Vyema sana1981
Bado hujamaliza shule ni miaka 11 tangu umalize shule ya msingi?Imenisaidia kupata kigezo cha kuendelea na ngazi ya elimu iliyo fuata, yaani sekondari
Miaka kumi nyuma yako ndugu yangu, yaani 2003!View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Nimelinote jina lako katika diary yangu ,hakika nakuambia Kuna siku utafurahia kujuana na mimiSijambo mzee, hakikisha siku ukitoboa hautusahau wanao wa Jf tufarijike pamoja.
Wakati huo mimi nilikuwa na miaka miwili, hakika siku hazisimami.Miaka kumi nyuma yako ndugu yangu, yaani 2003!
Hakika siku hazisimami.
Sasa mjitahidi msome some hata vitabu mpate elimu.Sawa, lakini huo ndyo ulikuwa wakati wetu na hatukuwa na kisingizio bali kwenda shule na kusoma.