Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #41
Bila shaka saivi wewe ni daktari katika hospitali fulani 😁2001
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka saivi wewe ni daktari katika hospitali fulani 😁2001
Hii ni kamba2022
Vyema sana1991 SEPTEMBER
Umejiwahi, we utakuwa umefanya 2019. Inasikitisha kumbe ndio maana JF ya sasa hakuna hoja za maana kwani wengi ni watoto.Ngoja waje wale jamaa ambao kitu pekee wako proud nacho ni kuwahi kumaliza shule kabla yako.
Utasikia kumbe tunabishana na watoto humu.
Mimi ndiyo natarajia mwaka huu.Mniombee dua njema. Mkishindwa hilo,mniombee hata maji ya kunywa tu.View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Na mzee wako kasema ukifeli uende ukatafute nyumba nyingine ya kukaaMimi ndiyo natarajia mwaka huu.Mniombee dua njema. Mkishindwa hilo,mniombee hata maji ya kunywa tu.
????Miaka hiyo,kadiri ya nilivyomuuliza baba,amesema mlifanya mwezi November.1991 SEPTEMBER
BRN. Mitihani ya ku shade majibu kwenye karatasi maalumu ukitumia penseli maalumu zile zenye mistari ya rangi nyeusi na nyekundu. Enzi hizo my numbe one ya Almas ina hit.View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Ini kweli ni watoto San mm nimahitimu 1999Ngoja waje wale jamaa ambao kitu pekee wako proud nacho ni kuwahi kumaliza shule kabla yako.
Utasikia kumbe tunabishana na watoto humu.
Pale ni kwetu.Yeye ndiye arudi kwa wazazi wake.Mimi nipo nyumbani kwa baba yangu.Atajicheki safari hii.Ntamfurusha.Na mzee wako kasema ukifeli uende ukatafute nyumba nyingine ya kukaa
Na tuliambiwa tushade kwa usafi maana mitihani ina sahishwa na mashineBRN. Mitihani ya ku shade majibu kwenye karatasi maalumu ukitumia penseli maalumu zile zenye mistari ya rangi nyeusi na nyekundu. Enzi hizo my numbe one ya Almas ina hit.
Shikamuu mzee wetu.🙏Humu tupo na watoto wetu
Kasema ukiwa na kiburi hutaambulia hata sahani ya urisi, sasa endelea tuPale ni kwetu.Yeye ndiye arudi kwa wazazi wake.Mimi nipo nyumbani kwa baba yangu.Atajicheki safari hii.Ntamfurusha.
Hatafutwi mtu wala kitumnatafuta nani?
Marhabaa kijana wangu...vipi ulihitimu darasa la saba mwaka gani?Shikamuu mzee wetu.🙏
Kabisa mkuu, hata wajukuu wapoHumu tupo na watoto wetu
Nampeleka kortini!Ataandika chini ya uangalizi.Kasema ukiwa na kiburi hutaambulia hata sahani ya urisi, sasa endelea tu
Natarajia mwaka huu mkuu wangu.Niombee dua njema. 🙏Marhabaa kijana wangu...vipi ulihitimu darasa la saba mwaka gani?