nipange sasa mrembo wangupoa mwanangu
Dada mkubwa me nilikuwa nimesha kuzimikia kitambo sana, sema age imeleta kikwazo.Nimepokea ππ
Urisi=UrithiKasema ukiwa na kiburi hutaambulia hata sahani ya urisi, sasa endelea tu
kunawatu mnacomment kwa kuangalia wengne wamekoment nin instead ya unachokionaa weweView attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Mwaka 1972View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Mimi sijui kuhusu walio feli, mimi nilifaulu na nikaendelea ngazi zinazo fuataHongera, ila umesoma katika zama ambazo mtu anayefeli ndio anaenda kufundisha[mwalimu] ilhali mwalimu anatakiwa awe ni mtu aliyefaulu vizuri.
Mkuu tuheshimiane tafadhali ππBaby Manson
1989.......
Dah, hilo jina la Zuberi limenikumbusha mbali sana2016shule msingi uhuru idodomya
Shkamoo mzee wangu, heshima kwako1973.
Wapi mkuuDah, hilo jina la Zuberi limenikumbusha mbali sana
Hiyo picha nimechukua GoogleMkuu hii π shule ndio uliyo maliza , Inaitwaje ?, itaje TU maana hakuna atayekufahamu humu
semanipange sasa mrembo wangu