Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Mimi nilifanya mtihani wa darasa la saba mwaka 2013, wewe je?

Kama kumbukumbu zangu hazipo sawa ni sahihishwe , mbona maarifa ya jamii lilikuwepo kabla ya 2001
Darasa la waliomaliza 2004 hawakusoma Maarifa ya Jamii wakiwa darasa la tatu ila walisoma masomo mengine mengi mengi kwa miezi kadhaa yakafutwa.
Maana hiyo waliomaliza 2005 hawakusoma uraia, Sayansi kimu, Historia, Geografia, na Kilimo Kama masomo yanayojitegemea.
Jaribu kukumbuka vizuri labda Kama unachanganya na stadi za kazi.
 
View attachment 3093104

Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.

Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Mkuu hii 👆 shule ndio uliyo maliza , Inaitwaje ?, itaje TU maana hakuna atayekufahamu humu
 
Back
Top Bottom