Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Huyo da mau anakuchosha, alijishaua hapa kapata mume kumbe alikuwa anatupima upepo 😂😂😂Nimeelewa,nilikuwa sijajua kama ni yeye🥲🥲🥲
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo da mau anakuchosha, alijishaua hapa kapata mume kumbe alikuwa anatupima upepo 😂😂😂Nimeelewa,nilikuwa sijajua kama ni yeye🥲🥲🥲
Ananijua nikianza kumpelekea moto hachelewi kuniandikia uzi wa malalamiko 🤣🤣🤣Ila wewe mkorofi🤣🤣🤣
Halafu ukala ban bureau mdogo wangu...basi hana mpangoAnanijua nikianza kumpelekea moto hachelewi kuniandikia uzi wa malalamiko 🤣🤣🤣
1977View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Nimekumiso sis 😍😍Halafu ukala ban bureau mdogo wangu...basi hana mpango
Radhi za wazee wanasikiliza hanii ya ZuchuHumu kuna wazee sana ambao hata kurusha jiwe litue mita 3 mbele hawawezi. Kwahiyo tuwe makini tusijepata radhi za jf.
Me too...unapoteapotea sana siku hizi ukifuata mzigo China unakuwa busy sana my wanguNimekumiso sis 😍😍
Mdanganye mwenzio🤣🤣🤣🤣Ledada mpole jaribu kujiweka shem disemba twende naye migombani 🤣🤣
😂😂😂 Sisy China ya bonyokwa labda..!Me too...unapoteapotea sana siku hizi ukifuata mzigo China unakuwa busy sana my wangu
🤣🤣🤣 Acha kumtisha shemeji yangu banaMdanganye mwenzio🤣🤣🤣🤣
Tena jana nilikuwa kkoo wee kuna maua mapya pambeeee ya kwenda kumsutia mwafula🫣😁😂😂😂 Sisy China ya bonyokwa labda..!
Niko busy nauza vijora si unajua ndio msimu wa shughuli nyingi mjini..!
😂😂😂😂shemeji yako alisema hapendi vibonge🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Acha kumtisha shemeji yangu bana
Ukiwa unaingia kwenye ili jukwaa uwage usalimia wakubwa zakoView attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Aisee... Sawa mkuuUkiwa unaingia kwenye ili jukwaa uwage usalimia wakubwa zako
😂😂😂 Mwafula lazima asutwe kwa maua pambe..!Tena jana nilikuwa kkoo wee kuna maua mapya pambeeee ya kwenda kumsutia mwafula🫣😁