Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #261
Kwani kuna tatizo lolote tukipishana Madam?Nyie watoto au wajukuu ndiyo tunapishana humu ukumbini, looh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kuna tatizo lolote tukipishana Madam?Nyie watoto au wajukuu ndiyo tunapishana humu ukumbini, looh
Hope saivi umekuwa faza na umepunguza makaliMwaka huo Mimi ndo nimeshindikana kusakama na kuchakata mbususu
Kosa aje binti mgeni kitaa.
Mchawi pesa tu mkuu na kujielewa basi kupunguza makali Hadi isome 72 hukoHope saivi umekuwa faza na umepunguza makali
Vyema kabisa mkuu1994
Sasa 72 si utakuwa na wajukuu kabisa mkuuMchawi pesa tu mkuu na kujielewa basi kupunguza makali Hadi isome 72 huko
Ooh sorry, naona labda uko nje ya nchi piaHadhi gani hiyo maalum ambayo hatuwapi
Sawa mkuuOoh sorry, naona labda uko nje ya nchi pia Hadhi Maalum ni mbadala wa Uraia Pacha
Eeeeee mwandiko wa mtu aliye zaliwa na kumaliza miaka hiyo upo je???huu sio muandiko wa mtu aliyemaliza std 7 1978
uzaliwe 1960s na utype hivyo?
Shkamoo Bibi1981
1959???????1959 💪💪💪💪
Nipo hapa Misungwi nalima nyanya na dengu. Vijana wa Misungwi wananifahamu vizuri sana!!
alisoma enzi za mkoloni huyu.1959???????
Yes sir. I was 13 in 1959!1959???????
Nitafanya 2028View attachment 3093104
Ikiwa siku ya leo wadogo zetu wapo katika mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi, nawaombea wamalize salama na wafanikiwe kuwapa faraja wazazi wao kwa matokeo mazuri.
Binafsi nilifanya mtihani huu mwaka 2013, share nasi ni mwaka gani ulimaliza elimu ya msingi...
Na wakati huo elimu ilikuwa elimu kweli!alisoma enzi za mkoloni huyu.
Mwaka huo Bibi yangu alikuwa na miaka mitatu....Yes sir. I was 13 in 1959!
Me super blessed, you know 🙏🏿
Sasahivi anakula matunda ya wajukuualisoma enzi za mkoloni huyu.
ananywesha wajukuu uji tu sasaSasahivi anakula matunda ya wajukuu