Mimi nilijua Marais duniani wakizungukwa na 'Mabodigadi' hawawezi Kuuliwa, kumbe Watu wakikutaka 'Wanakushinzo Abe' muda Wowote ule

Mimi nilijua Marais duniani wakizungukwa na 'Mabodigadi' hawawezi Kuuliwa, kumbe Watu wakikutaka 'Wanakushinzo Abe' muda Wowote ule

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Marais tuliopo tujitahidi Kuongoza kwa Haki ili nasi Wananchi Wetu wasije 'Kutushinzo Abe' tukiwa tunaigiza Sinema na akina Rambo na Van Dame au tunalima Karafuu au tunakula Samaki za Feri Magogoni au tunakunywa Mvinyo wa Wagogo.

Kulindwa na 'Makomandoo' siyo Kigezo kuwa 'Makomandoo' wengine wa Kiraia kamwe wakitaka 'Kukushinzo Abe' watashindwa kwani hata 'aliyedonyolewa' Jana ni miongoni mwa Watu wanaoongoza kuwa na Ulinzi mkubwa na wa Wazee wa Kazi tupu ila Mwamba Mmoja tu Kammaliza 'Kimedani' zaidi.

Tuache double standards katika Uongozi na Kuwaongoza Watu kama kweli hatutaki nasi 'Kushinzoziwa Abe' kama Mwenzetu jana huko kwa Watu Wafupi duniani ila waliojaaliwa Akili na Teknolojia ya kila aina.
 
Marais tuliopo tujitahidi Kuongoza kwa Haki ili nasi Wananchi Wetu wasije 'Kutushinzo Abe' tukiwa tunaigiza Sinema na akina Rambo na Van Dame au tunalima Karafuu au tunakula Samaki za Feri Magogoni au tunakunywa Mvinyo wa Wagogo.

Kulindwa na 'Makomandoo' siyo Kigezo kuwa 'Makomandoo' wengine wa Kiraia kamwe wakitaka 'Kukushinzo Abe' watashindwa kwani hata 'aliyedonyolewa' Jana ni miongoni mwa Watu wanaoongoza kuwa na Ulinzi mkubwa na wa Wazee wa Kazi tupu ila Mwamba Mmoja tu Kammaliza 'Kimedani' zaidi.

Tuache double standards katika Uongozi na Kuwaongoza Watu kama kweli hatutaki nasi 'Kushinzoziwa Abe' kama Mwenzetu jana huko kwa Watu Wafupi duniani ila waliojaaliwa Akili na Teknolojia ya kila aina.

Ndugu mtanzania mwenzangu japan huwa hawana ulinzi mkubwa kwa viongozi wao sio kama nyinyi kambi nzima ya jeshi inalinda mtu.Mtu nchini mwetu akiwa kiongozi anageuka adui wa umma ndio maana kabla hajawa kiongozi anakua hana ulinzi ili akiwa kiongozi utashangaa mitutu kibao imemzunguka na huruhusiwi hata kumpa mkono au kumsogelea! . Huko japani uwaziri mkuu ni utumishi wa umma hivyo ukistaafu unabaki kama mwalimu mstaafu huku kwetu. Angalia pale kwene kampeni watu wanaomsikiliza mr abe hawapo wengi pili barabara watu wanapita kama kawaida, hakuna mwene habari nae wengi wao pale wanamind business zao na hakuna ulinzi mkali kama kwetu mtu haruhusiwi kuwa au kupita nyuma ya kiongozi. Kwanini huoni watu pale shinzo akihutubia ni kua wajapan wapo busy sana na kazi ingekua huku kwetu watu wangekua wamejaa sana kwasababu majority yetu 60% hawana shughuri maalumu kama likitokea tukio dogo tu utashangaa mamia ya watu wamejaaa hata masaa manne wanashangaa tu. Wakati Shinzo anapigwa risasi watu wanapita kwa magari wengine kwa mguu wengine kwa baiskeri wala hawana time nae
 
Wana akili kubwa hawa, just imagine hata wewe unakataa, ingekuwa kesi mtu keshaokoka
Nadhani kitu kitu kama hicho..,,,,na Suspect taarifa zinadai ni Ex Military..

Akili tu.
 
Me mwenyewe hua nashangaa sana et mtu analindwa na watu afu kiburi kama choote mi hua naenda tu kwenye kampen nasema hv hapa nikirusha hata BOM hapa si wahadanja woote hawa
 
Marais tuliopo tujitahidi Kuongoza kwa Haki ili nasi Wananchi Wetu wasije 'Kutushinzo Abe' tukiwa tunaigiza Sinema na akina Rambo na Van Dame au tunalima Karafuu au tunakula Samaki za Feri Magogoni au tunakunywa Mvinyo wa Wagogo.

Kulindwa na 'Makomandoo' siyo Kigezo kuwa 'Makomandoo' wengine wa Kiraia kamwe wakitaka 'Kukushinzo Abe' watashindwa kwani hata 'aliyedonyolewa' Jana ni miongoni mwa Watu wanaoongoza kuwa na Ulinzi mkubwa na wa Wazee wa Kazi tupu ila Mwamba Mmoja tu Kammaliza 'Kimedani' zaidi.

Tuache double standards katika Uongozi na Kuwaongoza Watu kama kweli hatutaki nasi 'Kushinzoziwa Abe' kama Mwenzetu jana huko kwa Watu Wafupi duniani ila waliojaaliwa Akili na Teknolojia ya kila aina.
Fanya na wewe ujaribu siku moja ili uone kama ni rahisi kiasi hicho.
 
Ndugu mtanzania mwenzangu japan huwa hawana ulinzi mkubwa kwa viongozi wao sio kama nyinyi kambi nzima ya jeshi inalinda mtu.Mtu nchini mwetu akiwa kiongozi anageuka adui wa umma ndio maana kabla hajawa kiongozi anakua hana ulinzi ili akiwa kiongozi utashangaa mitutu kibao imemzunguka na huruhusiwi hata kumpa mkono au kumsogelea! . Huko japani uwaziri mkuu ni utumishi wa umma hivyo ukistaafu unabaki kama mwalimu mstaafu huku kwetu. Angalia pale kwene kampeni watu wanaomsikiliza mr abe hawapo wengi pili barabara watu wanapita kama kawaida, hakuna mwene habari nae wengi wao pale wanamind business zao na hakuna ulinzi mkali kama kwetu mtu haruhusiwi kuwa au kupita nyuma ya kiongozi. Kwanini huoni watu pale shinzo akihutubia ni kua wajapan wapo busy sana na kazi ingekua huku kwetu watu wangekua wamejaa sana kwasababu majority yetu 60% hawana shughuri maalumu kama likitokea tukio dogo tu utashangaa mamia ya watu wamejaaa hata masaa manne wanashangaa tu. Wakati Shinzo anapigwa risasi watu wanapita kwa magari wengine kwa mguu wengine kwa baiskeri wala hawana time nae
Kwani unadhani pamoja na ulinzi mkubwa mtu akidhamiria kufanya yake atashindwa? Ulinzi mkubwa wa viongozi wetu sababu yake kuu ni ya kisaikolojia zaidi rather than kumlinda rais. Namaanisha wanacheza na saikolojia ya kutaka wananchi waone kama urais ni umungu mtu, na rais ni nguvu iliyo kuu yenye mamlaka na inatakiwa kuogopwa na kuheshimiwa kuliko kiumbe mwingine yoyote.
 
Back
Top Bottom