Mimi Nimeshajiandaa kusikia haya. Wewe je?

Mimi Nimeshajiandaa kusikia haya. Wewe je?

Karamagi, Ngereja, Chenge, Sospeter Muhongo, Chegeni, mama Tibaijuka, Lizimoko, Kagasheki na wapambe wao wapo wanapima upepo na kina cha maji....soon wanarudi upyaa.

Afrika nimeamini sisi ndio uzao wa Kaini ndugu yake na Abeli wale waliosimuliwa kwenye bible!

Mzee Mbowe Kamanda wa anga aka "baby tangulia KIA" tuokoe makamanda!

Zile NGO zilizokuwa zimagawa vilainishi kwa akina James Delicious zinarudi kwa speed ya 4G... globalization baby!
 
Baba Kinana, Tembo na Faru wa Serengeti wajiandae kuhamia Kenya huku kiama tayari...
 
Karamagi, Ngereja, Chenge, Sospeter Muhongo, Chegeni, mama Tibaijuka, Lizimoko, Kagasheki na wapambe wao wapo wanapima upepo na kina cha maji....soon wanarudi upyaaa...
Umeandika utoto gani hapa we dogo?
 
Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.

1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.

2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.

3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL

4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme

5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani

6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita[emoji848][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.

1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.

2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.

3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL

4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme

5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani

6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Ramli chonganishi.
Maendeleo hayana vyama, ukabila, udini wala ukanda.
Kwa jina la jamhuri ya muungano.
 
Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.

1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.

2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.

3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL

4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme

5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani

6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Wewe ni msukuma uliekosa weledi wa kuongea kabisa. Uliposema kukosa Waziri au naibu Waziri kutoka Mwanza, geita, shinyanyanga au Simiyu. Inaonekana unafikiri nchi hii kipindi cha mheshimiwa ilikuepo ni Mali ya wasukuma
 
Back
Top Bottom