Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ana mashudu hata sio akili hiyo.Akili yako iko sawa kweli?
Mimi ni wa chigugu ndugu yanguHapana mimi myao wa Masasi sehemu inaitwa Chiungutwa
Umeandika utoto gani hapa we dogo?Karamagi, Ngereja, Chenge, Sospeter Muhongo, Chegeni, mama Tibaijuka, Lizimoko, Kagasheki na wapambe wao wapo wanapima upepo na kina cha maji....soon wanarudi upyaaa...
Ungejua kama mimi nilikuwa mshenga wa baba yako ili amuoe mama yako Consolatha....jf ni msitu mkubwa huu!Umeandika utoto gani hapa we dogo?
Kalipinde,lisenjeHapana mimi myao wa Masasi sehemu inaitwa Chiungutwa
Una akili chache Sana kichwani kwako.Wasukuma safari hii mnatapatapa.
Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita[emoji848][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.
1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.
2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.
3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL
4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme
5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani
6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Ramli chonganishi.Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.
1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.
2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.
3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL
4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme
5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani
6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Siyo wote mkuu! Nawahurumia sana Wasukuma wenzangu jinsi wanavyokunyakunya! Mwaka huu watajamba cheche!Wasukuma safari hii mnatapatapa.
Wewe ni msukuma uliekosa weledi wa kuongea kabisa. Uliposema kukosa Waziri au naibu Waziri kutoka Mwanza, geita, shinyanyanga au Simiyu. Inaonekana unafikiri nchi hii kipindi cha mheshimiwa ilikuepo ni Mali ya wasukumaKutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.
1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.
2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.
3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL
4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme
5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani
6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita