Genge la magu mna matatizo.
Mkataba wa bagamoyo ushatemwa usitegemee mama kurudi kusign. Angekua anasikiliza habari za mitandaoni huo mkataba hawezi saini, na leo yule kalio anaitwa sabaya angekua ashafukuzwa.
Ndege kuuzwa sio kitu kibaya, nchi haina hela na ndege zinazidi kuitia nchi hasara ya mabilioni kila mwaka, tukae na ndege kwa sifa tu hata kama inatucost mabilioni? Watu mnafikiria kwa kutumia ubongo kweli?
Reli itakamilika, na wataruhusu watu kununua mabehewa na kuinvest, jiwe lingekua halijafa mabehewa yote yangewekwa chini ya kampuni zake zilizofunguliwa kwa majina ya ndugu zake.
Hayo mambo ya waziri kutoka mikoa flani halijawahi kua tatizo Tanzania, ni wewe tu umejaa uovu kichwani kila kitu unaona negative, unasahau magufuli alikua kajaza sukuma gang kwenye kila sector.
Lile zee kufa ni a blessing to Tanzania, take it. Mzee mbaya kuliko Iddi Amini