Itabaki kuwa ripoti tu na watu wanaendelea kudunda uraianiPole sana. Kama upo kwenye ripoti ya CAG jiandae kwenda jela au kuzitapika/kuziharisha hela ulizoiba.
Usimtishe mama na kesho anaenda kwa Museveni kuchukua mbinu za kuwashughulikia watu kama nyie!
6 imefanya nijue kabila lako.Kutokana na kelele za walio wengi huku mitandaoni na jinsi tunavyojua kuwa Mama amekuwa ni wa kusikia sana habari za mitandaoni nategemea na binafsi nimeshajiandaa na haya machache kutokea.
1. Kuanzishwa tena kwa mradi wa bandari ya Bagamoyo ambao tunajua kuwa moja ya masharti yake ni kuwa hatutakanyaga pale kukusanya kodi kwa miaka 35.
2. Kusitishwa kwa mradi wa umeme bwawa la Rufiji ambalo lingezalisha zaidi ya Megawatts 2100.
3. Kuuzwa ama kukodishwa kwa ndege zote za ATCL
4. Mwendo wa kusua sua wa mradi wa reli mpya treni ya umeme
5. Madawa ya kulevya kuuzwa kama pipi mitaani
6. Kutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita
Najua unajua namna wasukuma wanavyonyanyaswa mitandaoni na mnashangilia tuWewe ni msukuma uliekosa weledi wa kuongea kabisa. Uliposema kukosa Waziri au naibu Waziri kutoka Mwanza, geita, shinyanyanga au Simiyu. Inaonekana unafikiri nchi hii kipindi cha mheshimiwa ilikuepo ni Mali ya wasukuma
Kapige mswaki domo linatoa harufuBaba Kinana, Tembo na Faru wa Serengeti wajiandae kuhamia Kenya huku kiama tayari...
Wasukuma pori og wanamahusiano mazuri sanaSiyo wote mkuu! Nawahurumia sana Wasukuma wenzangu jinsi wanavyokunyakunya! Mwaka watajamba cheche!
Na mimi wa chikukwe nicomment wapiMimi ni wa chigugu ndugu yangu
Siyo wote mkuu! Nawahurumia sana Wasukuma wenzangu jinsi wanavyokunyakunya! Mwaka watajamba cheche!
Hili la bandari ya Bagamoyo linafikilisha sana,, yani ni maslahi binafsi ya kundi fulaniakili kisoda hawaelewi hata nchi inakwenda wapi.
wao ni ushabiki maandazi mayowe.
upinzani kipaumbele chao ni uhuru wa kuongea.
ccm madili kipaumbele chao ni upigaji.
baada ya miaka 3 makundi hayo yatakaposhtuka kwamba yamewasaliti watz na shujaa wao,tayari nchi itakuwa haiongozeki tena.
Ni kwasababu ya ushamba wenu mkuu sio kungine. Mbona sie wa masasi tulikalia hicho kiti cha magogoni lakini hatukujaza wamakuwa au wamachinga wenzetu. Tatizo nyie washambaaaNajua unajua namna wasukuma wanavyonyanyaswa mitandaoni na mnashangilia tu
Kwa vita hivi vinavyopigwa dhidi ya wasukuma sitegemei kuwaona kushika nafasi za juu huko sirikaliniKutokuwa na Waziri au naibu Mawaziri kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Geita[emoji848][emoji848][emoji848][emoji3064][emoji3064][emoji2827][emoji2827][emoji2827]