Mimi nina nini jamani, hakuna hata mdada alienijibu PM!!

Mimi nina nini jamani, hakuna hata mdada alienijibu PM!!

Wandugu Habari
Jaman mim ni kijana mtanashati na msomi wa masters. Nilishawishika kujiunga jf na kufurahia maisha ya humu kweli ni Mazur na matam sana. Lakin wandugu mim Nina kasoro gan mbona wadada wa humu awataki kujibu text zangu mf miss natafuta nimetumia zaidi ya 20 naomben ushaur wenu, nimestuk usingzin lkn ili jambo limeniuma sana
Kwa aina hii ya uandishi wa 'Kifesibuku' sidhani kama kuna mwanamke wa JF anayejitambua atakayekujibu...
Mi nadhanu wewe endelea kuota tu ukiamka ndio utajua kumbe ilikuwa ndoto...
 
MKUU UNAHANGAIKA NA MAKINIKIA WAKATI GOLDBARS ZIMEJAA KWA STREET NYINGINE MPAKA ZINAJIUZA!
 
Hahaha!pole sana,tafuta mfupa wa bundi mzee ,usage mpaka upatikane unga,halafu chukua mafuta ya mgando kisha changanya.Jipake mchanganyiko huo kila saa sita na robo usiku kwa siku 2,mademu wataanza kumiminika kama viwavi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Badlisha jna, weka kaswagg kdogo, jiite hata kajina kakizungu, sio MAHARAGE
 
Back
Top Bottom