Mimi nina nini jamani, hakuna hata mdada alienijibu PM!!

Mimi nina nini jamani, hakuna hata mdada alienijibu PM!!

Ukiona hivyo ujue wa huku sio wa saizi yako. Wa size yako ni wa kule FB! 🙄🙄🙄
 
Wandugu Habari
Jaman mim ni kijana mtanashati na msomi wa masters. Nilishawishika kujiunga jf na kufurahia maisha ya humu kweli ni Mazur na matam sana. Lakin wandugu mim Nina kasoro gan mbona wadada wa humu awataki kujibu text zangu mf miss natafuta nimetumia zaidi ya 20 naomben ushaur wenu, nimestuk usingzin lkn ili jambo limeniuma sana
huwa unawaandikia mambo gani?
yaweke hapa ushauriwe vizuri
 
Wandugu Habari
Jaman mim ni kijana mtanashati na msomi wa masters. Nilishawishika kujiunga jf na kufurahia maisha ya humu kweli ni Mazur na matam sana. Lakin wandugu mim Nina kasoro gan mbona wadada wa humu awataki kujibu text zangu mf miss natafuta nimetumia zaidi ya 20 naomben ushaur wenu, nimestuk usingzin lkn ili jambo limeniuma sana
tumia njia ya muamala.
 
Wanaume wengi wa Jf hamna Swaga!
Maneno mengii Pesa hamna
Mtu anakutumia msg 20 kwa siku upoteze muda kujibu upuuzi wake kwa gharama zako?
Kwaio ulitaka utumiwe sms na vocha.![emoji34]
 
Back
Top Bottom