Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naogopa watanichukuliaje?

Habari zenu ndugu zangu,

Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia

Naombe ushauri wenu?
Hiyo “watanichukuliaje” imeua ndoto za wengi
 
Habari zenu ndugu zangu,

Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia

Naombe ushauri wenu?
Kuna watu wengi wameogopa kuzaliwa kwa kuona aibu dunia itawachukuliaje. Endeleza aibu mkuu,ukiona watu jifunike uso kabisa.
 
Ni either atafute strategy za kuingia kwenye soko jipya au akubali kutoa hiyo low self esteem ya kuwaza watanichukuliaje aingie kwenye hilo soko lililopo mbele yake......

Kama bado anaogopa basi aendelee kulalamika.
Au kukata mzizi wa fitina aanze tu umalaya. maana unafanyikia kifichoni.

CC Ms Gazal Janet
 
Huyu bwana mdogo kasababisha twende directly kuliko kumuhoji , inabidi tumuulize kwanza watamchukuliaje kivipi na wanaouza genge yeye pia anawachukuliaje kwa mtazamo wake hapo tutapata pa kuanzia
mimi ushauri wangu akasome pale muhimbili kozi ya mochwari aje tupige kazi. tena vile yeye demu wanahitajika kwa wingi
 
Wapo ambao wana masters ukiona kazi za kujikimu wanazofanya hutaamini!
Adui mkubwa wa mafanikio ya mtu ni Aibu na Uoga!
Kama umeamua kufa na tai shingoni endelea kushupaza shingo.
Thnks
 
Asante sana kwa ushauri nkihama location naona kazi ntafanya vizuri
 
Mkiombwa ushauri mnampondea mtu
 
Nguvu ya "MOFIMU"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…