Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naogopa watanichukuliaje?

Habari zenu ndugu zangu,

Mimi Nina tatizo Moja, nataka kuanzisha biashara ya genge la nyanya, vitunguuu, mboga mboga ila naona aibu kutoka na mazingira niliyopo na namna watu watanichukulia

Naombe ushauri wenu?
WEWE NI MPUMBAVU,.........na hata ukifungua ukiwa na hio mindset,wateja watakuchukulia wewe ni MPUMBAVU,then biashara itakufa,utarudi kwenye umasikini wako unaostahili
 
WEWE NI MPUMBAVU,.........na hata ukifungua ukiwa na hio mindset,wateja watakuchukulia wewe ni MPUMBAVU,then biashara itakufa,utarudi kwenye umasikini wako unaostahili
WEWE PIA NI MPUMBAVU NA UMEJIBU UPUMBAVU and zip it
 
Umeongea point.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…