cacico ndio nini kuniacha weekend yote napigwa na baridi hapa
huku baridi ni mbaya sana imefikia 15c aise
hebu kuja pande hizi achana na babu Asprin bana Yummy yuko maternity leave bana
Halafu Young_Master amepata kilema cha kudumu kwenye nanihiii yake so kuja pande hizi bana
Young_Master nilikuta cheti chako kimedondoka pale njini kati pale sokoni wamama wauza nyanya wanakiongelea aiseWeee!! weee!! weee!! Mr Rocky tena ishia hapo hapo...nani kakwambia jogoo wangu hawiki...???
x wangu upo? mzima wewe?
:busu hubby mzima weye?
Staki salamu zako, nimeanza kupunguza mapenzi yangu kwako. Nshakustukia mishemishe zako na Mr Rocky.....hubby goodafternoon! umenimith?
Young_Master asikusumbue, ni kuku wa kuchora yule! wa kumhofia kwa sasa ni ODM tu, si unajua kanioa mke wa 3 hivi majuzi?? lol shhshshshshs tutafanya kithirithiri kha!
Hahaha.... ushapewa siri yake toka kwa msiri wako.... achana nao ile makitu.... akhaa! staki kugandwa kama ruba mie. Chezeya mautamu ya mautundu ya mifyonzo weye?babu mstaarabu, hana shida. atakuadabisha polepole! lol, ila utauweza mfyonzo kama wa hubby wangu?
Young_Master asikusumbue, ni kuku wa kuchora yule! wa kumhofia kwa sasa ni ODM tu, si unajua kanioa mke wa 3 hivi majuzi?? lol shhshshshshs tutafanya kithirithiri kha!
cacico ndio nini kuniacha weekend yote napigwa na baridi hapa
huku baridi ni mbaya sana imefikia 15c aise
hebu kuja pande hizi achana na babu Asprin bana Yummy yuko maternity leave bana
Halafu Young_Master amepata kilema cha kudumu kwenye nanihiii yake so kuja pande hizi bana
shshshshsh nakuja! mzima weye?? umenimisije sasa?? rahaje sasa kujua nimemisiwa! wathalimie wote huko, waambie wakuache miaka 1000, lol!
cacico nimekumiss kila kitu aise
Shhhhh maana namuona kama Young_Master anachungulia
Asije akatutoa manundu bure
Ndo manake aise hapa napiga jaramba kupata pata joto
kumbe Young_Master ni joka la mdiimu
Babu hana noma huyu wajukuu zake tunaenda kucheza kombolela tuu wala sio kingine
We valia ile kanga wameandika wenye wivu wajinyonge uje pande hizi
Kopo la kombolela liko tayari hapa
khaaaaaa! naja, nimevaa kanga ya 'mkwaju wako, tiba kwangu' lol! ila kimya kimya wake wenzangu wasisikie! lol, kunimith tu na kutaka nije mazima, kaazi kwel kwel!
Mwambie babu Asprini kuwa unaenda kwa mjukuuu kuna mdudu kaingia jichoni waja kumtoa
Maana naona anapandisha presha na BP na OILCOM na TOTAL kwa pamoja
Babu ODM ni mdudu tuu anakuja kunitoa bana kaingia jichoni
utaniulia mume wallah! mbona tena kwa kumtia hasira? kula vyako kimya kimya kama besta na marlow! lol! naja lakini usinijeruhi!
babu mstaarabu, hana shida. atakuadabisha polepole! lol, ila utauweza mfyonzo kama wa hubby wangu?
cacico hapa taratibu ndio mwendo
Si unamuona kobe anavyonyata ila anafika
Njoo bana Babu wala hana wasi wasi hapa ni kimya kimya tuu
tukutane wapi sasa?? namalizia uji wa kungu nikae sawa kwanza ndio nije! we ushapata mkuyati?? shshshshshs ODM asisikie, lol! yaani nakuja tu, ila mwenyewe hubby wangu nampenda balaa!
Si ndio maana nakuambia wewe kuja pande hizi Yummy ni mke wangu pia ila nasikia siku hizi anacheat
So na mimi nataka nilipize kisasi aise
taratibu yaani hakuna papara
kwani ulivyonipa mfyonzo siku ile nimerudi tena?? kwani mie nimekuganda?? lol! nataka tena weekend, nifyonze kidogo tu!Hahaha.... ushapewa siri yake toka kwa msiri wako.... achana nao ile makitu.... akhaa! staki kugandwa kama ruba mie. Chezeya mautamu ya mautundu ya mifyonzo weye?
hubby u r my only man, na unajua hilo. huko nilikwenda kucheza kombolela tu, baada ya kuona umetoka muda ukaniacha! lol!Khaaaaaaa!
Hapa sina mke wallah!!
Ngoja nielekeze nguvu zangu kwa wake zangu Yummy na BADILI TABIA. Najua watanitafutia wa kuziba pengo...
Khaaaaaaa!
Hapa sina mke wallah!!
Ngoja nielekeze nguvu zangu kwa wake zangu Yummy na BADILI TABIA. Najua watanitafutia wa kuziba pengo...
Rudia tena kwa sauti ili Mr Rocky na Young_Master wakusikie vizuri....hubby u r my only man, na unajua hilo. huko nilikwenda kucheza kombolela tu, baada ya kuona umetoka muda ukaniacha! lol!
i luv u my only man Asprin! lol, hata mvunja ndoa anajua hii makitu, kuwa mi na wewe tunampeleka puta, lol!Rudia tena kwa sauti ili Mr Rocky na Young_Master wakusikie vizuri....
kwani ulivyonipa mfyonzo siku ile nimerudi tena?? kwani mie nimekuganda?? lol! nataka tena weekend, nifyonze kidogo tu!