Mimi ODM... Nitoke na nani leo??

Ongeza kumnunulia na Lamborghini bana, mwisho wa siku navitumia mie kwa raha zangu. We wagharamia mie nala. Mie nampenda akiwa uchiiii weye wampenda akiwa kavaa? cacico come this way my love, come without ok??
ngoja nijitande hata mtandio tu, maana hivi hivi na shepu yangu ya tangawizi hii, usije fanya waalimu wasitishe mgomo bureeeee! lol
 
Wanacheat
Mchana uko kazini yeye anabaki home anadai analea mtoto kumbe anaishia kwa babu
Natangaza mgomo rasmi wa kuhama chumba yaani nahama master bed room naenda kulala kwa house gal
We jitafutie pressure tu...utakuta housegirl keshakamatwa na Houseboy ndio unakapolia....
We goma mi ntakuja kukusaidia kumlea Yummy
 
Last edited by a moderator:
We jitafutie pressure tu...utakuta housegirl keshakamatwa na Houseboy ndio unakapolia....
We goma mi ntakuja kukusaidia kumlea Yummy


Huku kwangu hakuna house boy na huyu house gal nimemlea mwenyewe najua alivyo kuanzia anapoanza kuota nido mpaka sasa anavutia vutia
na namnunulia marashi mimi mwenyewe Erickb52 wewe kaendelee na mkeo BADILI TABIA japo nae kimeo anacheat na Babu
 
Last edited by a moderator:
Huku kwangu hakuna house boy na huyu house gal nimemlea mwenyewe najua alivyo kuanzia anapoanza kuota nido mpaka sasa anavutia vutia
na namnunulia marashi mimi mwenyewe Erickb52 wewe kaendelee na mkeo BADILI TABIA japo nae kimeo anacheat na Babu
Hahahaaa huyo sio kimeo tu bali SUPER KIMEO yan cha wote....!
Ila nimeamua kukomaa nae..Halafu nimemmiss sana Remmy na Kipipi
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa huyo sio kimeo tu bali SUPER KIMEO yan cha wote....!
Ila nimeamua kukomaa nae..Halafu nimemmiss sana Remmy na Kipipi

Mnafanza nini hapa nyie machalii? Njooni bar huku tulipe kodi.
 
Last edited by a moderator:
Mnafanza nini hapa nyie machalii? Njooni bar huku tulipe kodi.
Dah Asprin tunaangalia nani wa kuja nae huko ili tukigonga kama tatu tatu tufanye ukaguzi kwa nafasi na raha....
Ni kama wewe unavyosema utoke vipi
 
Last edited by a moderator:
Dah Asprin tunaangalia nani wa kuja nae huko ili tukigonga kama tatu tatu tufanye ukaguzi kwa nafasi na raha....
Ni kama wewe unavyosema utoke vipi
Mkuu Erickb52, kusoma hujui hata picha za AmKATRINA na Remmy zimekushinda? Hebu ziangalie hapo chini...

Niko huku Mr Rocky,
mme wao cacico amekataa kunikagua.
Uko pande zipi maana kibaridi kinapuliza ile mbaya njoo fasta.

Am here darling!
How are you!
 
Last edited by a moderator:
ukiongelea mambo ya alcohol inanogaje sasa?? naaminia kichwa chako!
Eti, ni kichwa kipi ukiaminicho zaidi malaika wangu? Shhhhiiii usiseme kwa sauti wakora wengi hapa watakunyang'anyia ODM wako wamgande kama ruba.:spy:
 
mwahhh bby yangu! wakuacha nasema, tena wakuache kwa karne nzimaaaaa! lol

ngoja nijitande hata mtandio tu, maana hivi hivi na shepu yangu ya tangawizi hii, usije fanya waalimu wasitishe mgomo bureeeee! lol

Kwa wale wasiojua, haya yooooote bi cacico my wife material alikuwa ananizungumzia mie ODM wake na wake peke yake.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wasiojua, haya yooooote bi cacico my wife material alikuwa ananizungumzia mie ODM wake na wake peke yake.

Mjini hapa!
Wewe ukiujua huu,wenzio wanaujua ule.
Baki hapohapo na mawazo yako hayo.
 
Last edited by a moderator:
Wakati wengine wanaanika, babu nlishaanua zamaaani!! STUKA!!! THINK AmKATRINA Think!!
heheheheiya! hubby we ni kiboko! wakipuliza chini, we unapuliza juu! chezeiya ODM weye! STUKA hubby STUKA! mgeni simuelewi kabisaaaaaaaaaa!
 
Mjini hapa!
Wewe ukiujua huu,wenzio wanaujua ule.
Baki hapohapo na mawazo yako hayo.
kama una hasira mie kupendwa na hubby wangu! KADEKI BAHARI MAMA, upunguze stress! ANZIA OCEAN ROAD, ILI UKIZIDIWA UWAHI HOSSY! LOL! AmKATRINA morning!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…