mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Sababu zangu kubwa za kutokuunga mkono huu mgomo wa wafanyabiashara ni nyingi, ila nitataja chache tu
1-Sie tumepigwa faini sana na hakuwepo wa kututetea, leo wamebanwa wakubwa huko wanataka support yetu, si sahihi
2-Hivi kuna kipindi wafanyabiashara waliteseka kama awamu iliyopita? Mbona hatukusikia mgomo wala maandamano? Nahisi dini au siasa inatumika hapa
3-Kwanini zisifanyike juhudi za maongezi kwanza?
4-Sie wengine hata hicho chama cha wafanyabiashara hatujui hata ofisi zao zikwapi
Ushauri
Wafanyabiashara tulipe kodi kwa maendeleo ya inchi yetu
Angalizo
Kwa kuwa nitakuwa nimefungua biashara yangu basi mkinitumia wahuni kunifanyia fujo mjue japo mmoja nitakufa nae
Usiku mwema
1-Sie tumepigwa faini sana na hakuwepo wa kututetea, leo wamebanwa wakubwa huko wanataka support yetu, si sahihi
2-Hivi kuna kipindi wafanyabiashara waliteseka kama awamu iliyopita? Mbona hatukusikia mgomo wala maandamano? Nahisi dini au siasa inatumika hapa
3-Kwanini zisifanyike juhudi za maongezi kwanza?
4-Sie wengine hata hicho chama cha wafanyabiashara hatujui hata ofisi zao zikwapi
Ushauri
Wafanyabiashara tulipe kodi kwa maendeleo ya inchi yetu
Angalizo
Kwa kuwa nitakuwa nimefungua biashara yangu basi mkinitumia wahuni kunifanyia fujo mjue japo mmoja nitakufa nae
Usiku mwema