Mimi Simba, ila jezi zetu ni kichekesho ni mbaya sana

Mimi Simba, ila jezi zetu ni kichekesho ni mbaya sana

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jezi zetu ziko vyedi mnoooooo. Wivu ni kidondaaa.
 
Naona umeandika kwa uchungu Sana huku kinyesi kinagonga kyupi, machozi yanabubujika, kamasi zinatiririka puani, huku moyo unadunda kwa kasi sababu ya uzuri wa jezi ya simba.



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kuna ile ya mauwa mauwa ningewashauri wavae wanawake tu, kwa wanaume ni aibu mno, ni fezeha aise

Kwa upande wa yanga, ni ile nyeusi naikubali.
Kabisa mkuu.....kinachonisikitisha hata yule model alievaa amekaa kike kike
 
Kiukweli aliyedesign hizi jezi lazima alitumia huu mmea
FB_IMG_16598958066732875.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] product ya Mzumbe, afu Campus ya Mbeya.

Uwiiiiiiiiiih
Bora hata umekuja kunipa support.....najua hata wewe hiz jezi zimekukela[emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jezi zetu ziko vyedi mnoooooo. Wivu ni kidondaaa.
Assume umevaa hii jersey ......alafu uwe mweusi Kama mimi
Expectations za watu zitakuwa

a) fundi rangi
b) mganga wa jadi
c) kigagula ( kibwengo)[emoji23][emoji23][emoji23]

......kwa hizi jezi hapanaaa
FB_IMG_16598967453631518.jpg
 
Back
Top Bottom