Mimi Simba, ila jezi zetu ni kichekesho ni mbaya sana

Mimi Simba, ila jezi zetu ni kichekesho ni mbaya sana

Ukilinganisha na ya Yanga ile yenye majengo mengi ipi unadhani ni bora?
Mkuu....yanga wameharibu jezi moja tu..... lakini sisi KOLO tumeharibu jezi mbili..
 
Ata ikiwa na rangi moja mtavaaa vinyesi fc ?, mbona husemi jessy ya makumbusho ya taifa yenu.
Ile nayo walizingua mkuu.... lakini hizi zetu simba tumezingua zaidi
 
Eti "Mimi Simba" hata saikolojia ya uandishi hujui
Msema kweli
FB_IMG_16599316236099582.jpg
 
Salaam Wana JF,

Japo Mimi sio mzee wa kuleta threads humu jf Kama ndugu yangu @mpyayungu village, ila suala la jezi ya Simba limenichukiza Sana.

Jezi Kama batiki
Ukiangalia kwa mbali kwa hizi jezi zetu kolo fc ...unaweza sema ni batiki lakini ukisogea karibu ni batiki kweli hii ni aibu

Jezi Kama vikapu vya wamama
Mpangilio wa rangi ( color layouts) Ni wazi kwamba designer amekopi rangi za vikapu vya wamama .....hizi ni hujuma

Jezi ni za wanawake
Kutokana na jezi zetu kuwa na rangi rangi zisizo za msingi ( kinyonga) hii ni wazi kuwa jezi zimekuwa designed only for wanawake. Since biologically, socially, wanaume hatupendi vitu vyenye rangi rangi....
So Kama mwanaume ukivaa jezi hizi ntakushangaa Sana

Jezi Ina mistari ya contour[emoji23][emoji23]
Hapa designer alitaka kuonyesha alikuwa kipanga wa GEOGRAPHY

Je, nini kifanyike ili kukwepa aibu ya jezi zetu......by prof. mchambuzi

View attachment 2317651
Ni mawazo na mtazamo wako jezi ni nzuri sanaaaa
 
Back
Top Bottom