white_charcoal
Member
- Aug 15, 2024
- 49
- 72
Umeishi sehemu nyingi Sana mkuu, ndomana unaongea mambo mengi Sana bila kujua tukujibu nini?Nimezaliwa Makete, Mwakauta. Nikaishi Zambia, Njombe, Makambako, Mafinga.
Nimeishi Mwananyamala, Temeke, Kigamboni, Kawe, Makumbusho, Tegeta, Masasi, Dodoma, Korogwe na sasa nipo Kondoa.
Na sijawahi kukutana na pattern ya OP.
Nimezaliwa Makete, Mwakauta. Nikaishi Zambia, Njombe, Makambako, Mafinga.
Nimeishi Mwananyamala, Temeke, Kigamboni, Kawe, Makumbusho, Tegeta, Masasi, Dodoma, Korogwe na sasa nipo Kondoa.
Na sijawahi kukutana na pattern ya OP.
Hayo maneno unatuambia sisi au mwanamke mwenzako aliyeleta uzi!? Una tatizo la kutojiamini.Hebu ifike pahala wanaume mtoke huko kwenye hizo fantasies mje kwenye reality things are different on terra firma acheni hizi propaganda zenu zimeshapitwa na wakati, kutwa tunashuhudia ndoa zinafungwa na hao wanawake wanaoolewa wala siyo mabikira bali ni hao hao malaya wastaafu mnaoshinda mkiwatukana humu, mnapoweka vigezo hakikisheni vinaendana na uhalisia ifike mahali mkubali tu kuwa wanawake wenye vigezo mnavyovitaka hawapo tena mkiambiwa nanyi mjitunze mnasema hilo ni jukumu la wanawake halafu ukifika muda mnataka kuoa mnaanza kulialia hakuna wanawake wa kuoa..pathetic!!
Hauwezi kuelewa kila kitu mkuu.Umeishi sehemu nyingi Sana mkuu, ndomana unaongea mambo mengi Sana bila kujua tukujibu nini?
Umenikuza mkuu, hayo maarifa pengine ni makubwa kunizidi.Hauwezi kuelewa kila kitu mkuu.
Vingine vinakua vidogo halafu wewe akili yako kubwa sana
Nimeshangaa imetoka kwa mwanamke, kutafuta cheap popularity
Kitu nimegundua katika maisha ya sasa. Mwanamke Innocent au bikra zaidi ya miaka 28 ni ngumu kupata mchumba na hao mnaita malaya kwa vile wana uzoefu wa jinsi ya kuwakamata vijana ambao ni Innocent - wanaolewa chap chap. Ndiyo maana kijana akiangukia single mother hachomoki.Hebu ifike pahala wanaume mtoke huko kwenye hizo fantasies mje kwenye reality things are different on terra firma acheni hizi propaganda zenu zimeshapitwa na wakati, kutwa tunashuhudia ndoa zinafungwa na hao wanawake wanaoolewa wala siyo mabikira bali ni hao hao malaya wastaafu mnaoshinda mkiwatukana humu, mnapoweka vigezo hakikisheni vinaendana na uhalisia ifike mahali mkubali tu kuwa wanawake wenye vigezo mnavyovitaka hawapo tena mkiambiwa nanyi mjitunze mnasema hilo ni jukumu la wanawake halafu ukifika muda mnataka kuoa mnaanza kulialia hakuna wanawake wa kuoa..pathetic!!