Mimi sio kungwi ila ni mwanamke, ichukue hii

Mimi sio kungwi ila ni mwanamke, ichukue hii

Mtoa mada Yuko sahihi sana japo maisha huwa yanatofautiana mno, kila mtu anakuwa ameumbwa na mzunguko tofaut wa maisha (life circle) .Kuna wanawake wanaolewa na miaka 13-16 hawa hawajui kitu inaitwa kula ujana.
Kuna wanaoolewa VERY late kwasababu ya vitu kama kusoma sana, shinikizo au family culture na wengine sio bahati .
NB: SIO KILA MWANAMKE ANAYECHELEWA KUOLEWA NI MALAYA AU MDANGAJI.
 
HUU UZI UMEANDIKWA NA MWANAMKE MWEZENU KUWAPASHA HABARI WANAUME KUHUSU WANAWAKE MLIVYO NA AMESEMA UKWELI HAJAFICHA HATA KIMOJA ILA SASA HIVI TUME UPDATE UMRI MWANAMKE UKIFIKA MIAKA 25 HAUJAOLEWA WEWE NI MTUMBA HUFAI TENA NA SOKO LAKO HALIPO ZAIDI YA KUKOJOLEWA NA WALEVI TUU
😃😃😃😃💯
 
Ungekuwa na upeo mkubwa wa kuelewa ungeiona hoja ila kwa vile na wewe ndio wale wale wazee wa kujifariji huwezi kuona hoja sisi wengine huwa hatusikilizi porojo za mitandaoni bali tunaangalia hali halisi, na uzuri huku kwenye jamii wote hali halisi tunaiona vinginevyo mtuambie hawa wanawake wenye tabia za hovyo tunaoona wanaolewa kila siku huwa wanaolewa na wanawake wenzao, maana kama kweli mngekuwa mnaoa hao wanawake wenye sifa nzuri nzuri mnazoziimba humu mitandaoni basi hizo ndoa zisingekuwa zinavunjika kila siku na wala tusingekuwa tunasikia vilio toka kwa wanaume walio kwenye ndoa
Wanaoolewa ni wote: wenye tabia nzuri na mbaya. Wenye historia “ndefu” na “fupi”. Kudumu au kufa kwa ndoa kunategemea na hulka na akili za wanandoa BAADA ya ndoa kufungwa.

Hii haiondoi fact alizoandika mleta mada. Wanawake wengi wanapitia mikanganyiko hiyo hasa wakati muhimu (prime age) wa usichana wanaposhindwa kutofautisha kati ya KUPENDWA na KUTAMANIWA na wanaume wengi. Wanaishia kunyanyaswa na wahuni huku wakifurahia wakidhani wanathaminiwa kwa uzuri au upekee wao.

Wakishtuka ukubwani wanabakia na mahangaiko mengi na mitazamo hasi sana kuhusu wanaume. Wanaoolewa wanaingia ndoani na baggages kibao na huweza kusumbua sana wenza wao kwa mitazamo iliyopinda. It’s tragic.

To be fair. Hata wanaume wanaohusiana na wanawake wengi (kihuni) muda mrefu na kuchelewa kuoa nao huwa na mitazamo hasi sana kuhusu wanawake. LAKINI wanaume wa umri wowote wanakuwa na ADVANTAGE kubwa sana ya kuoa/kudhibiti ndoa/mahusiano kuliko wanawake. Hivyo women need a lot of help in this area tangu wakiwa mabinti wadogo. Sio kupewa false confidence and hope.
 
Mtoa mada unakabia juu sana.

#Eneweiz mtoto wa kiume hakuna kiwanda kinachotengeneza bidhaa za mtumba.
 
Hebu ifike pahala wanaume mtoke huko kwenye hizo fantasies mje kwenye reality things are different on terra firma acheni hizi propaganda zenu zimeshapitwa na wakati, kutwa tunashuhudia ndoa zinafungwa na hao wanawake wanaoolewa wala siyo mabikira bali ni hao hao malaya wastaafu mnaoshinda mkiwatukana humu, mnapoweka vigezo hakikisheni vinaendana na uhalisia ifike mahali mkubali tu kuwa wanawake wenye vigezo mnavyovitaka hawapo tena mkiambiwa nanyi mjitunze mnasema hilo ni jukumu la wanawake halafu ukifika muda mnataka kuoa mnaanza kulialia hakuna wanawake wa kuoa..pathetic!!
Reaction zako Jadda kutetea usawa wa uzani kwa wanawake unajitahidi. 😆😆
Lakini mwandishi mengi aliyo spot and address ni kweli.
 
Kila mwaka huwa nauona Uzi huu🤔🤔, anyway Wacha niendelee kukariri TU📌🔨.
 
Weeeeeeeeh sinsi when! Kuchwa kutwa wanawake this, wanawake that.... you breath women.

Wanaufanya na akina nani

Ungekuwa na upeo mkubwa wa kuelewa ungeiona hoja ila kwa vile na wewe ndio wale wale wazee wa kujifariji huwezi kuona hoja sisi wengine huwa hatusikilizi porojo za mitandaoni bali tunaangalia hali halisi, na uzuri huku kwenye jamii wote hali halisi tunaiona vinginevyo mtuambie hawa wanawake wenye tabia za hovyo tunaoona wanaolewa kila siku huwa wanaolewa na wanawake wenzao, maana kama kweli mngekuwa mnaoa hao wanawake wenye sifa nzuri nzuri mnazoziimba humu mitandaoni basi hizo ndoa zisingekuwa zinavunjika kila siku na wala tusingekuwa tunasikia vilio toka kwa wanaume walio kwenye ndoa
Kuna kamsemo kanasemaga hivi "Kila mwanaume anaoa Malaya wa mtaa asioufahamu, na jamii asiyoijua vyema"..Binafsi sitetei upande wowote ila hii mada ni mahususi kwa makolokolo wanayofanya wanawake kwanini nisiwe huru kuchangia kwa uzoefu nilionao!? Mimi sina upeo mkubwa ni kweli lakini sio kipofu, nimeshuhudia ndoa nyingi zikitetereka na vyazo huwa ni ubinafsi wa wakinamama na hulka zao kama lipo Jambo unaona na wanaume tunakosea chapisha uzi mwingine tuje kukomenti ila hapa utupishe mamdogo feminist 🤣🤣
 
Kilichoandikwa ni uongo na watu wanakuja na shuhuda za uongo pia.
Mkuu ukute umezaliwa Masaki na kuishi ughaibuni kwa miaka kadhaa, maana ungekuwa umeishi Tanzania hii hii ungegundua haya yaliyosemwa ni reflection ya huku mitaan kwetu
 
MZUNGUKO WA MAISHA WA MWANAMKE WA KISASA (MALAYA)

Umri wa Miaka 12-15:

Anaanza kufungua miguu yake kwa wavulana wa shule ya sekondari na kuanza kupata uzoefu mwingi wa kingono.

Umri wa Miaka 16-18:

Katika hatua hii, anaanza kuweka vigezo vya juu kwa wanaume na kuanza kufikiria kuwa yeye ni bora kuliko wavulana wa umri wake na anakataa kuchumbiana na wale anaowaona kuwa chini ya kiwango chake.

Umri wa Miaka 19-20:

Katika hatua hii, kutokana na idadi kubwa ya wanaume wanaomkaribia, anaanza kufikiria kuwa yeye ni wa thamani, akisahau kuwa anatafutwa sana kwa ajili ya ngono tu.

Hii stage nyodo ndio hua nyingi full dharau kwa wavulana wa sio na hela na wale wa rika lake

"Siwezi kuchumbiana na wanaume masikini."
"Wanaume masikini hawapaswi kupata pussy."
"Mimi ni 'gen z baddie.' Ninastahili bora zaidi."

Umri wa Miaka 21-23:

Anaanza kukataa wanaume wazito wanaotaka kumuoa kwani anawaona kuwa wa kuchosha sana na wabaya mno kwake. Kwani bado anataka uhuru wa kuendelea kufurahia uhuru wake wa kingono na wavulana wabaya, wanaochepuka, na wanaume wasiokuwa na uwajibikaji kwani wanamsisimua zaidi.

Umri wa Miaka 24-25:

Bado anafikiria yuko katika ujana wake na bado anakataa kukaa na wanaume wazito.

Kwa sababu kwake, hayajaisha maisha yake bora na hataki kutuliza maisha yake yote kwa ajili ya mwanaume mmoja tu wakati bado kuna wanaume wengi wanamtaka

Umri wa Miaka 26-27:

Anakuwa mama asiyeolewa na anakuwa tayari kukaa na mwanaume.

Umri wa Miaka 28-29:

Anagundua kuwa thamani yake katika soko la uchumba imepungua sana na kwamba wanaume hawamchukulii kwa uzito.

Katika hatua hii, anajihakikishia kuwa mwanaume mcha Mungu ndiye chaguo lake bora. Kwa sababu kwake, mwanaume mcha Mungu ni sawa na mwanaume mjinga ambaye atapuuza historia yake ya nyuma ya kutembeza pussy kwa kila btothermen aliyekuja mbele yake.

Umri wa Miaka 30-32:

Katika hatua hii, anagundua kuwa kanisa ni nyumba ya mapumziko kwa ajili ya wanawake wa mitaani.

Utaanza kuona: "Mtoto wa Yesu.", "Mpenzi wa Mungu.", "addicted to jesus." na kadhalika kwenye wasifu wake.

Shiloh inakuwa sehemu yake ya kupenda zaidi.

Anakuwa mchangamfu kanisani.

Anajiunga na idara kanisani.

Utaanza kumuona akichapisha mistari ya Biblia, akizungumzia jinsi Mungu alivyo mkuu na jinsi ibada ya Jumapili ilivyokuwa nzuri.

Umri wa Miaka 33 na kuendelea:

Anapogundua kuwa hakuna mwanaume anayetaka kujitolea kwake, anakuwa mwanaharakati wa kike (faminest)

Utaanza kumuona akiwa hai katika mitandao yote ya kijamii akizungumzia jinsi wanaume walivyo nguruwe, wachafu, na hawapaswi kuaminika.

Wanawake wa kisasa watatumia ujana wao kuweka viwango visivyo vya kweli kwa wanaume, wakichepuka kutoka kwa mwanaume mmoja hadi mwingine na wanapokuwa tayari na wanahitaji kukaa na mtu, wanaanza kutafuta mwanaume mzuri ambaye anamcha Mungu na ambaye ataweka Mungu kwanza wakati wao waliweka ngono kwanza katika ujana wao.

Wafalme, usiwe huyo mwanaume atakayeteswa kwa dhambi za wanaume wengine kabla yako.

Kama mfalme na zawadi, unastahili bora zaidi na sio mabaki.

Usiruhusu mwanamke yeyote kukutumia kama mpango wake wa kustaafu.

USIKUBALI KUPUNGUZA KIWANGO CHAKO!
My homie is a dead person
 
Mbona huu mwandiko wa libaba fulani lina kitambi na vinyweleo kuanzia puani mpaka kwenye kuta za masikio
 
Mkuu ukute umezaliwa Masaki na kuishi ughaibuni kwa miaka kadhaa, maana ungekuwa umeishi Tanzania hii hii ungegundua haya yaliyosemwa ni reflection ya huku mitaan kwetu
Nionyeshe feminist anayeshinda na dera na shanga pekee bila chupi anayeishi Kiwalani, Mwananyamala Kisiwani, Temeke kwa Usher, Kawe Ukwamani, Msasani Shoppers, Davis Corner.

Bonus point nionyeshe wa umri wowote siyo aliouweka OP pekee
 
Umexaliwa Tanzania ? Wapi ? Tuwe na experience basi....
Nimezaliwa Makete, Mwakauta. Nikaishi Zambia, Njombe, Makambako, Mafinga.

Nimeishi Mwananyamala, Temeke, Kigamboni, Kawe, Makumbusho, Tegeta, Masasi, Dodoma, Korogwe na sasa nipo Kondoa.

Na sijawahi kukutana na pattern ya OP.
 
Hebu ifike pahala wanaume mtoke huko kwenye hizo fantasies mje kwenye reality things are different on terra firma acheni hizi propaganda zenu zimeshapitwa na wakati, kutwa tunashuhudia ndoa zinafungwa na hao wanawake wanaoolewa wala siyo mabikira bali ni hao hao malaya wastaafu mnaoshinda mkiwatukana humu, mnapoweka vigezo hakikisheni vinaendana na uhalisia ifike mahali mkubali tu kuwa wanawake wenye vigezo mnavyovitaka hawapo tena mkiambiwa nanyi mjitunze mnasema hilo ni jukumu la wanawake halafu ukifika muda mnataka kuoa mnaanza kulialia hakuna wanawake wa kuoa..pathetic!!
Inaonekana kama umekutwa na bwana pepsi vile!
 
Miaka 12_15 kumbe watu tayar daah sijui ni malez au ni ukali wa mzeee wangu sikua naelewa chochote kuhusu mapenz looh mie michezo michezo na mim
mpaka miaka mingapi? kilichozungumzwa ni kweli, mdogo wangu wa kike alizaa mtoto akiwa na umri wa miaka 15 tu
 
Back
Top Bottom